Pombe ya Captain Morgan haileweshi kabisa

Pombe ya Captain Morgan haileweshi kabisa

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,709
Reaction score
25,490
Wazee sijui ni mimi ndo nimekua konkodi kiasi kwamba pombe zinadunda au vipi?

Kuna hii pombe ina ladha ya whiskey inaitwa captain Morgan.

Wahusika wanajitahidi sana kuipromote but sioni kama inatoboa hii pombe ina alcohol % ya 37 5.

Mimi leo nikasema niijaribu, nimepiga vile vidogo vitatu nikichanganyia na safari kubwa but mpaka sasa sioni dalili ya kuzima.

Hii kitu haileweshi kabisa bwana.
 
Wazee sijui ni mimi ndo nimekua konkodi kiasi kwamba pombe zinadunda au vipi?

Kuna hii pombe ina ladha ya whiskey inaitwa captain Morgan.

Wahusika wanajitahidi sana kuipromote but sioni kama inatoboa hii pombe ina alcohol % ya 37 5.

Mimi leo nikasema niijaribu, nimepiga vile vidogo vitatu nikichanganyia na safari kubwa but mpaka sasa sioni dalili ya kuzima.

Hii kitu haileweshi kabisa bwana.
Jaribu hizi mkuu uje utupe mrejesho
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    6.3 KB · Views: 19
  • images.jpg
    images.jpg
    16 KB · Views: 23
Inategemea na ntu na ntu, kuna jamaa juzi kati jumamosi alikunywa hivyo vikaptan 2 aliyoyafanya baada ya kulewa sasa hivi anaona aibu mwenyewe kakoma kasema hatavigusa tena
 
Pombe ukinywa ukiwa umekula vizuri, umejaza minyamanyama tumboni unachelewa kulea.
Pombe ukiwa unakunywa mahali tulivu pasipo na kelele au we kuongea ongea sana, kuchezacheza pia unachelewa kulewa.

Pia style ya kunywa, unagugumia kwa kuikata chap kama maji au unakunywa taratibu kwa mafundo makubwa au taratibu kwa mafundo madogo, vyote hivyo vinadetermine ulewe vipi, wapi na kwa namna na muda gani.

Kwahiyo mazingira na namna yako ya unywaji vina mchango mkubwa kwenye vibe.

Hii ni kutoka kwa chama cha matester Tz, ukiwa unatest kinywaji kipya zingatia sana mazingira, hali ya hewa na namna ya unywaji.
 
Back
Top Bottom