Pombe ni hatari kwa uchumi

Mkuu unaongelea Pombe au ulevi?. Urusi, Uingereza na nchi nyingi za ulaya wanakunywa pombe kuliko chi yoyote Africa lakini wana uchumi mzuri, hakuna wasichokuwa nacho.

Wachaga na Wahaya pombe kwao ni kama samaki na maji, hadi zinatumika kwenye mahali.

Nakubaliana na wewe kwamba ukiwa mlevi wa kupindukia pombe itakufanya vibaya, kila kitu kwa kiasi ndio maana hata chakula ulizidisha kinakusababishia kisukari au PB, matokeo yake kifo
 
POMBE yaani kilevi ni hatari sana kwa ukuaji wa uchumi wako! Kwa mfano unakunywa POMBE ile inayo kaa kwenye CHUPA ya KIJANI, inaitwa castle lite (ya gharama) Utajenga nyumba kwa pesa za kibubu?? Huu ni mfano wa kawaida kabisa.

Yaani acha ile kunywa kwa ofa, yaani unakunywa KWELI KWELI ukimaliza kunywa UNALALA MBELE bila kulipa unaishi kwa madeni na kujificha kama kobe! Ha ha ha ha ha ha

POMBE husababisha watu kufukuzwa kazi hovyo hovyo, POMBE humfanya mtu Kukurupuka katika maamuzi, POMBE husababisha mtu kufanya mambo kwa kutafuta sifa! Ndiyo maana utakuta mtu anamaliza mshahara wake baa!

Ukiona mtumiaji wa POMBE anaiongoza vizuri familia yake basi shukuru MUNGU. Ukiona mtumiaji wa POMBE anabana matumizi pia mshukuru sana MUNGU maana wengi hutumia fedha zao vibaya.

Mtumiaji wa POMBE huwa ana mipango mingi mizuri sana hasa ya kukuza uchumi wake na wa familia yake lakini mipango yake haitimii kwa sababu ya Maamuzi ya Kukurupuka au kutaka sifa mbele za watu.

Mtumiaji wa POMBE hujiona yuko juu ya wote. Hujiona baunsa ni yeye, mbabe ni yeye, mwenye nguvu ni yeye! Akili ya mtumiaji wa POMBE humfanya ajione yuko sahihi kila wakati na hataki ushauri!

Kwani hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha kaleta ugomvi?? Hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha akataka hata kuvua nguo mbele za watu?? POMBE zikiisha kichwani anatafuta Mjumbe wa nyumba kumi kufanya SULUHU kwa watu alio gombana nao! Upuuzi mtupu!

Ukiona mtumiaji wa POMBE amefanikiwa sana, tazama walio mzunguka! Usimsifie mtumiaji wa POMBE aliye fanikiwa, wasifie wanao mshauri na hasa wanao mpinga kila wakati maana wanamfanya kushtuka kwamba umri haurudi nyuma, kuna uzee, ujana una mwisho na fedha ni maua!

Tufanye kazi, tuweke akiba, tuwe wazalendo kwa familia zetu, tutunze afya zetu pia. Huu ni ushauri wangu wa bure kwenu watumiaji na pia ni funzo kubwa kwa wale wanao onja onja au wanatamani kuanza kutumia POMBE.

NB: Msema kweli ni mpenzi wa MUNGU, hata maandiko matakatifu yanakataza POMBE, muulizeni Nuhu kilimkuta nini baada ya kutumia POMBE.

"Wenye akili pana wame elewa na wata acha kutumia POMBE".
Wewe wa maajabu mno,embu jaribu kukesha na mwanamke mpaka asubuhi,halafu jaribu kushesha kwenye pombe mpaka asubuhi,uone wapi unabaki na chenji.
 
POMBE yaani kilevi ni hatari sana kwa ukuaji wa uchumi wako! Kwa mfano unakunywa POMBE ile inayo kaa kwenye CHUPA ya KIJANI, inaitwa castle lite (ya gharama) Utajenga nyumba kwa pesa za kibubu?? Huu ni mfano wa kawaida kabisa.

Yaani acha ile kunywa kwa ofa, yaani unakunywa KWELI KWELI ukimaliza kunywa UNALALA MBELE bila kulipa unaishi kwa madeni na kujificha kama kobe! Ha ha ha ha ha ha

POMBE husababisha watu kufukuzwa kazi hovyo hovyo, POMBE humfanya mtu Kukurupuka katika maamuzi, POMBE husababisha mtu kufanya mambo kwa kutafuta sifa! Ndiyo maana utakuta mtu anamaliza mshahara wake baa!

Ukiona mtumiaji wa POMBE anaiongoza vizuri familia yake basi shukuru MUNGU. Ukiona mtumiaji wa POMBE anabana matumizi pia mshukuru sana MUNGU maana wengi hutumia fedha zao vibaya.

Mtumiaji wa POMBE huwa ana mipango mingi mizuri sana hasa ya kukuza uchumi wake na wa familia yake lakini mipango yake haitimii kwa sababu ya Maamuzi ya Kukurupuka au kutaka sifa mbele za watu.

Mtumiaji wa POMBE hujiona yuko juu ya wote. Hujiona baunsa ni yeye, mbabe ni yeye, mwenye nguvu ni yeye! Akili ya mtumiaji wa POMBE humfanya ajione yuko sahihi kila wakati na hataki ushauri!

Kwani hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha kaleta ugomvi?? Hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha akataka hata kuvua nguo mbele za watu?? POMBE zikiisha kichwani anatafuta Mjumbe wa nyumba kumi kufanya SULUHU kwa watu alio gombana nao! Upuuzi mtupu!

Ukiona mtumiaji wa POMBE amefanikiwa sana, tazama walio mzunguka! Usimsifie mtumiaji wa POMBE aliye fanikiwa, wasifie wanao mshauri na hasa wanao mpinga kila wakati maana wanamfanya kushtuka kwamba umri haurudi nyuma, kuna uzee, ujana una mwisho na fedha ni maua!

Tufanye kazi, tuweke akiba, tuwe wazalendo kwa familia zetu, tutunze afya zetu pia. Huu ni ushauri wangu wa bure kwenu watumiaji na pia ni funzo kubwa kwa wale wanao onja onja au wanatamani kuanza kutumia POMBE.

NB: Msema kweli ni mpenzi wa MUNGU, hata maandiko matakatifu yanakataza POMBE, muulizeni Nuhu kilimkuta nini baada ya kutumia POMBE.

"Wenye akili pana wame elewa na wata acha kutumia POMBE".
Lugha ya picha hiyo wenye akili wameelewa,
kuna mdau mwingine akawa anasema watu wenye macho makengeza ni hatari sana kwa taifa hawachelewi kubadilisha gia angani na kuuza uchumi na mifumo ya familia kwa tamaa ya pesa na pia wanahatari nyingine katika nchi kwa kuleta ukabila na ukanda kwenye nchi. ni sawa na mdau mwingine alikuwa anasema watu wengine hatari kwenye nchi na uchumi ni wenye nywele nyeupe - mvi kichwa kizima kwani ni wanatamaa sana ya madaraka wanaweza hata kuihasi familia na na kununua kimada nyumba ndogo sababu ya tamaa ya madaraka pia wanaweza hata kuhatarisha maisha ya watu ili mradi wapate madaraka. Hawa ni watu wakuwaogopa sana katika uchumi wa taifa.
Chuma hufua chuma ni mwendo wa roho mkononi
POMBE yaani kilevi ni hatari sana kwa ukuaji wa uchumi wako! Kwa mfano unakunywa POMBE ile inayo kaa kwenye CHUPA ya KIJANI, inaitwa castle lite (ya gharama) Utajenga nyumba kwa pesa za kibubu?? Huu ni mfano wa kawaida kabisa.

Yaani acha ile kunywa kwa ofa, yaani unakunywa KWELI KWELI ukimaliza kunywa UNALALA MBELE bila kulipa unaishi kwa madeni na kujificha kama kobe! Ha ha ha ha ha ha

POMBE husababisha watu kufukuzwa kazi hovyo hovyo, POMBE humfanya mtu Kukurupuka katika maamuzi, POMBE husababisha mtu kufanya mambo kwa kutafuta sifa! Ndiyo maana utakuta mtu anamaliza mshahara wake baa!

Ukiona mtumiaji wa POMBE anaiongoza vizuri familia yake basi shukuru MUNGU. Ukiona mtumiaji wa POMBE anabana matumizi pia mshukuru sana MUNGU maana wengi hutumia fedha zao vibaya.

Mtumiaji wa POMBE huwa ana mipango mingi mizuri sana hasa ya kukuza uchumi wake na wa familia yake lakini mipango yake haitimii kwa sababu ya Maamuzi ya Kukurupuka au kutaka sifa mbele za watu.

Mtumiaji wa POMBE hujiona yuko juu ya wote. Hujiona baunsa ni yeye, mbabe ni yeye, mwenye nguvu ni yeye! Akili ya mtumiaji wa POMBE humfanya ajione yuko sahihi kila wakati na hataki ushauri!

Kwani hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha kaleta ugomvi?? Hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha akataka hata kuvua nguo mbele za watu?? POMBE zikiisha kichwani anatafuta Mjumbe wa nyumba kumi kufanya SULUHU kwa watu alio gombana nao! Upuuzi mtupu!

Ukiona mtumiaji wa POMBE amefanikiwa sana, tazama walio mzunguka! Usimsifie mtumiaji wa POMBE aliye fanikiwa, wasifie wanao mshauri na hasa wanao mpinga kila wakati maana wanamfanya kushtuka kwamba umri haurudi nyuma, kuna uzee, ujana una mwisho na fedha ni maua!

Tufanye kazi, tuweke akiba, tuwe wazalendo kwa familia zetu, tutunze afya zetu pia. Huu ni ushauri wangu wa bure kwenu watumiaji na pia ni funzo kubwa kwa wale wanao onja onja au wanatamani kuanza kutumia POMBE.

NB: Msema kweli ni mpenzi wa MUNGU, hata maandiko matakatifu yanakataza POMBE, muulizeni Nuhu kilimkuta nini baada ya kutumia POMBE.

"Wenye akili pana wame elewa na wata acha kutumia POMBE".
 
Dah inasikitisha sana kuona kwamba Wa tz wengi ni wagumu wa kuelewa Bado wameshindwa kuelewa nilichoandikwa !!! Duh aibu.
 
1469353851449.jpg
 
Back
Top Bottom