donbeny
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,587
- 3,174
CHEERSMnhhhhhhhh..... Sitaki kuamini.....Limited amounts huwa zinanywewa kama mfuko haujakaa vema ..... Trust me ..... I have been there....!!!!!
CHEERSMnhhhhhhhh..... Sitaki kuamini.....Limited amounts huwa zinanywewa kama mfuko haujakaa vema ..... Trust me ..... I have been there....!!!!!
Nafikiri juzi amewakongoli maana amewapa nenoHuko sasa ni kupotoka kimantiki, anayetakiwa kujiongeza kwa sasa ni JJM wa kibamba maana anawaumiza vichwa
Naam,POMBE balimi ya kanda ya ziwa.Balimi ya kanda ya ziwa.
Lazima usikubaliane na hoja.Sikubaliani na hoja kwa sababu wapo wengi ninaowafahamu ambao ni walevi wa kupindukia na wanamaendeleo makubwa sana tu.
Mkuu weka picha zote ili watu waelewe kwamba POMBE inamfanya mtu apende sifa
lekana na wari wakwa....wefaa kabsa foHehehe warii wariii chuu. Wanyo mpaka shindo shilya shikawa urusu tusu
Dah... Hii imetokea wapi bana?? Acha ulevi ...CCM CCM CCM CCM CCM
Sasa rudia kuusoma uzi vizuri kutoka kwa mtoa mada na wachangiaji wote utaelewa maana ya huu uziPombe sio mbaya ila watumiaji wake ndo wenye matatizo.Na ndio maana pombe ilikuwepo tangu enzi za nuhu.Pombe haikuletwa watu walewe bali ilikuwa ni mvinyo wenye ladha tofauti na kuwa fanya watu wa injoi na kusahau shida zao kwa muda.Na ndio maana ata Yesu aliwahi kuwaamini wapeni masikini pombe wazisahau shida zao
Soma mawazo ya wachangiaji wote utaelewaUmenena vema..... Nakumbuka kipindi hicho nilikuwa mwanamke cha pombe aiseeeeeee.... Namshukuru Mungu sana sana huko sipo tena..... Ni maamuzi magumu ila ukiamua inawezekana.....
Soma mjadala wote utaelewaSikubaliani na hoja kwa sababu wapo wengi ninaowafahamu ambao ni walevi wa kupindukia na wanamaendeleo makubwa sana tu.
tafiti za wapi?Kuna tafiti zinaonesha watanzania wengi hawakupenda kunywa POMBE, ila wamejikuta wakiishi tu kama mashetani, yote sababu ya POMBE.