Pombe ni hatari kwa uchumi

Pombe ni hatari kwa uchumi

POMBE yaani kilevi ni hatari sana kwa ukuaji wa uchumi wako! Kwa mfano unakunywa POMBE ile inayo kaa kwenye CHUPA ya KIJANI, inaitwa castle lite (ya gharama) Utajenga nyumba kwa pesa za kibubu?? Huu ni mfano wa kawaida kabisa.

Yaani acha ile kunywa kwa ofa, yaani unakunywa KWELI KWELI ukimaliza kunywa UNALALA MBELE bila kulipa unaishi kwa madeni na kujificha kama kobe! Ha ha ha ha ha ha

POMBE husababisha watu kufukuzwa kazi hovyo hovyo, POMBE humfanya mtu Kukurupuka katika maamuzi, POMBE husababisha mtu kufanya mambo kwa kutafuta sifa! Ndiyo maana utakuta mtu anamaliza mshahara wake baa!

Ukiona mtumiaji wa POMBE anaiongoza vizuri familia yake basi shukuru MUNGU. Ukiona mtumiaji wa POMBE anabana matumizi pia mshukuru sana MUNGU maana wengi hutumia fedha zao vibaya.

Mtumiaji wa POMBE huwa ana mipango mingi mizuri sana hasa ya kukuza uchumi wake na wa familia yake lakini mipango yake haitimii kwa sababu ya Maamuzi ya Kukurupuka au kutaka sifa mbele za watu.

Mtumiaji wa POMBE hujiona yuko juu ya wote. Hujiona baunsa ni yeye, mbabe ni yeye, mwenye nguvu ni yeye! Akili ya mtumiaji wa POMBE humfanya ajione yuko sahihi kila wakati na hataki ushauri!

Kwani hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha kaleta ugomvi?? Hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha akataka hata kuvua nguo mbele za watu?? POMBE zikiisha kichwani anatafuta Mjumbe wa nyumba kumi kufanya SULUHU kwa watu alio gombana nao! Upuuzi mtupu!

Ukiona mtumiaji wa POMBE amefanikiwa sana, tazama walio mzunguka! Usimsifie mtumiaji wa POMBE aliye fanikiwa, wasifie wanao mshauri na hasa wanao mpinga kila wakati maana wanamfanya kushtuka kwamba umri haurudi nyuma, kuna uzee, ujana una mwisho na fedha ni maua!

Tufanye kazi, tuweke akiba, tuwe wazalendo kwa familia zetu, tutunze afya zetu pia. Huu ni ushauri wangu wa bure kwenu watumiaji na pia ni funzo kubwa kwa wale wanao onja onja au wanatamani kuanza kutumia POMBE.

NB: Msema kweli ni mpenzi wa MUNGU, hata maandiko matakatifu yanakataza POMBE, muulizeni Nuhu kilimkuta nini baada ya kutumia POMBE.

"Wenye akili pana wame elewa na wata acha kutumia POMBE".
Mkuu sasa watu wameanza kuelewa kwamba mywa POMBE anaweza kupiga pushups mbele za watu pombe ikikolea vizuri
 
Mkuu sasa watu wameanza kuelewa kwamba mywa POMBE anaweza kupiga pushups mbele za watu pombe ikikolea vizuri

Unataka kusema hii ilitokana na POMBE?
ImageUploadedByJamiiForums1468419765.768206.jpg

Basi kama ni hivyo POMBE ni hatari sana.
 
UKAWA wamefuzu kutoka katika kuibua uozo na sasa hivi wanatembea nyuma ya JPM wakisubiri akosee,
 
Haki y a mungu duu leo kusema na ukweli nimefurahishwa sana humu j.f sijui tanfu mwanzo nilikuwaga wapi nisijiunge aisee yaani j.f nimegundua ukiwa na hasira weee zama tuu humu unajikuta unacheka tuu hadi hasira zinakatika!!!mleta huuu uzi umekosha sana roho yangu aisee!!!!ila pombe jamani!!!
 
POMBE yaani kilevi ni hatari sana kwa ukuaji wa uchumi wako! Kwa mfano unakunywa POMBE ile inayo kaa kwenye CHUPA ya KIJANI, inaitwa castle lite (ya gharama) Utajenga nyumba kwa pesa za kibubu?? Huu ni mfano wa kawaida kabisa.

Yaani acha ile kunywa kwa ofa, yaani unakunywa KWELI KWELI ukimaliza kunywa UNALALA MBELE bila kulipa unaishi kwa madeni na kujificha kama kobe! Ha ha ha ha ha ha

POMBE husababisha watu kufukuzwa kazi hovyo hovyo, POMBE humfanya mtu Kukurupuka katika maamuzi, POMBE husababisha mtu kufanya mambo kwa kutafuta sifa! Ndiyo maana utakuta mtu anamaliza mshahara wake baa!

Ukiona mtumiaji wa POMBE anaiongoza vizuri familia yake basi shukuru MUNGU. Ukiona mtumiaji wa POMBE anabana matumizi pia mshukuru sana MUNGU maana wengi hutumia fedha zao vibaya.

Mtumiaji wa POMBE huwa ana mipango mingi mizuri sana hasa ya kukuza uchumi wake na wa familia yake lakini mipango yake haitimii kwa sababu ya Maamuzi ya Kukurupuka au kutaka sifa mbele za watu.

Mtumiaji wa POMBE hujiona yuko juu ya wote. Hujiona baunsa ni yeye, mbabe ni yeye, mwenye nguvu ni yeye! Akili ya mtumiaji wa POMBE humfanya ajione yuko sahihi kila wakati na hataki ushauri!

Kwani hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha kaleta ugomvi?? Hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha akataka hata kuvua nguo mbele za watu?? POMBE zikiisha kichwani anatafuta Mjumbe wa nyumba kumi kufanya SULUHU kwa watu alio gombana nao! Upuuzi mtupu!

Ukiona mtumiaji wa POMBE amefanikiwa sana, tazama walio mzunguka! Usimsifie mtumiaji wa POMBE aliye fanikiwa, wasifie wanao mshauri na hasa wanao mpinga kila wakati maana wanamfanya kushtuka kwamba umri haurudi nyuma, kuna uzee, ujana una mwisho na fedha ni maua!

Tufanye kazi, tuweke akiba, tuwe wazalendo kwa familia zetu, tutunze afya zetu pia. Huu ni ushauri wangu wa bure kwenu watumiaji na pia ni funzo kubwa kwa wale wanao onja onja au wanatamani kuanza kutumia POMBE.

NB: Msema kweli ni mpenzi wa MUNGU, hata maandiko matakatifu yanakataza POMBE, muulizeni Nuhu kilimkuta nini baada ya kutumia POMBE.

"Wenye akili pana wame elewa na wata acha kutumia POMBE".

Umenena vema..... Nakumbuka kipindi hicho nilikuwa mwanamke cha pombe aiseeeeeee.... Namshukuru Mungu sana sana huko sipo tena..... Ni maamuzi magumu ila ukiamua inawezekana.....
 
Haki y a mungu duu leo kusema na ukweli nimefurahishwa sana humu j.f sijui tanfu mwanzo nilikuwaga wapi nisijiunge aisee yaani j.f nimegundua ukiwa na hasira weee zama tuu humu unajikuta unacheka tuu hadi hasira zinakatika!!!mleta huuu uzi umekosha sana roho yangu aisee!!!!ila pombe jamani!!!

Karibu sana JF Ndugu yetu wa stendi.....
 
This is beyond literal translation and conceptualization #Malisa G...
 
Pombe ndio kila kitu usibishe kama wewe hutumii pombe
Nimewahi acha pombe nakwambia nilifulia ajabu
Sasa nakunywa pombe aka bia aka lager aka kitwanga nazishika noti hatare iga ukome.

Sijawahi kushauri mtu asietumia kileo kunywa bia pia sijawah kumwambia mnywaji wa pombe kuacha

Mara chache nawashauri wanywa pombe, wavuta ganja kupunguza kamwe simshauri mtu kuacha. Usiulize kwa nini?
 
POMBE yaani kilevi ni hatari sana kwa ukuaji wa uchumi wako! Kwa mfano unakunywa POMBE ile inayo kaa kwenye CHUPA ya KIJANI, inaitwa castle lite (ya gharama) Utajenga nyumba kwa pesa za kibubu?? Huu ni mfano wa kawaida kabisa.

Yaani acha ile kunywa kwa ofa, yaani unakunywa KWELI KWELI ukimaliza kunywa UNALALA MBELE bila kulipa unaishi kwa madeni na kujificha kama kobe! Ha ha ha ha ha ha

POMBE husababisha watu kufukuzwa kazi hovyo hovyo, POMBE humfanya mtu Kukurupuka katika maamuzi, POMBE husababisha mtu kufanya mambo kwa kutafuta sifa! Ndiyo maana utakuta mtu anamaliza mshahara wake baa!

Ukiona mtumiaji wa POMBE anaiongoza vizuri familia yake basi shukuru MUNGU. Ukiona mtumiaji wa POMBE anabana matumizi pia mshukuru sana MUNGU maana wengi hutumia fedha zao vibaya.

Mtumiaji wa POMBE huwa ana mipango mingi mizuri sana hasa ya kukuza uchumi wake na wa familia yake lakini mipango yake haitimii kwa sababu ya Maamuzi ya Kukurupuka au kutaka sifa mbele za watu.

Mtumiaji wa POMBE hujiona yuko juu ya wote. Hujiona baunsa ni yeye, mbabe ni yeye, mwenye nguvu ni yeye! Akili ya mtumiaji wa POMBE humfanya ajione yuko sahihi kila wakati na hataki ushauri!

Kwani hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha kaleta ugomvi?? Hujawahi kuona mtu kanywa POMBE kisha akataka hata kuvua nguo mbele za watu?? POMBE zikiisha kichwani anatafuta Mjumbe wa nyumba kumi kufanya SULUHU kwa watu alio gombana nao! Upuuzi mtupu!

Ukiona mtumiaji wa POMBE amefanikiwa sana, tazama walio mzunguka! Usimsifie mtumiaji wa POMBE aliye fanikiwa, wasifie wanao mshauri na hasa wanao mpinga kila wakati maana wanamfanya kushtuka kwamba umri haurudi nyuma, kuna uzee, ujana una mwisho na fedha ni maua!

Tufanye kazi, tuweke akiba, tuwe wazalendo kwa familia zetu, tutunze afya zetu pia. Huu ni ushauri wangu wa bure kwenu watumiaji na pia ni funzo kubwa kwa wale wanao onja onja au wanatamani kuanza kutumia POMBE.

NB: Msema kweli ni mpenzi wa MUNGU, hata maandiko matakatifu yanakataza POMBE, muulizeni Nuhu kilimkuta nini baada ya kutumia POMBE.

"Wenye akili pana wame elewa na wata acha kutumia POMBE".
the enemy of my enemies is my friend!
 
Mnhhhhhhhh..... Sitaki kuamini.....Limited amounts huwa zinanywewa kama mfuko haujakaa vema ..... Trust me ..... I have been there....!!!!!
Pombe hata ukianza kidogo mwisho wa siku itakukolea utaanza kunywa nyingi
 
Back
Top Bottom