pombe na nyege vimeniponza

pombe na nyege vimeniponza

Ilikuwa mida ya asubuhi, ggrrrh mara simu yangu ikaita. kuangalia mdogo wangu
Dogo: Kaka kwema, me: poa, dogo:kuna tv yangu naiuza niletee mteja, iko sehem fulani ukipata mteja mpeleke mimi nimetoka,

kweli wanangu nikapambana nikapata mteja mida fulan ya jioni, nikampeleka akaiona akanipa kibunda

Nikamwambia dogo nimeshauza je hela yako nikutumie? akaniambia utanipa kesho ila chukua k30 ya posho, nikasema unyama, nikapitia kibar kimoja hivi nikate hata konyagi ndogo,

dah likawa kosa la kiufundi, nilivyopata stimu tu nikawa najiamini kwenye hela ya watu, wanywaji wenzangu wamenielewa

pale pale k100 ikakata, haitoshi nikachukua mtoto mzuri, maana nyege zilipanda nikatoka kwenda kumgonga

ile naamka pombe baada ya kutoka kichwani kwenye laki 3 ya dogo imebaki laki moja na elfu 20

Hapa bado nipo na mtoto mzuri akili yangu imelejea nawaza sijui nampangaje, na sina hela ya kujastia mpaka mwisho wa mwezi mshahara ukitoka

hebu nipeni mbinu
pombe na nyege vimeniponza

Kosa la kiufund lilianzia hapo kwenye Konyagi. Na pengne ulichanganya na Bia baadae. Na pia ulikunywa vyote hivyo wakat tumbon pako empty.

Kwahiyo mwili ukawa hauna nguvu, akili ikapoteza umakini na nyege ndio sasa ikashika hatamu. 😊😊😊😊. Ni balaa sana hii.

Mm nilishajiamulia miaka 15+ huko nyuma kuwa bora ninywe vibia havileweshi kwa haraka na nikamaliza 20k taratibu mwenyewe tena mdogo mdogo na nisilewe sana ila akili ikawepo na muda nikiamua kunyanyuka bar nanyanyuka na asubuh naamka mwepesi kabisa.

Kuliko kunywa Kvant/konyag kwa buku 10 useme unabana matumizi alaf baada ya lisaa 1 unapoteza umakin unaanza kununulia bia watu usiowajua na kununulia wahudumu chakula 😊😊😊😊. Na kuomba namba za simu na Jagina.
 
Itoroke tu hiyo mbususu.
Ivizie imeingia kuoga,wewe tambaa
 
Back
Top Bottom