Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,727
Tupo sawamaendeleo hayana chama
Tupo sawamaendeleo hayana chama
Hajamtaka na Heche huko jamani?@Mshana Jr utadhani mzee kapigwa zongo ili akili ijichanganye.
Anachapia sio mchezo
Kama hivi tunavyofutilia ccm miaka hamsini mnatufanyia hivi kweli watanzania hii sio haki mkapumzike sasaAsanteni sana Bavicha kwa kumfuatilia mheshimiwa Rais kila anapoenda
Fix hiyo,toa location,picha ya longtime kitambo sana!!Kama hivi tunavyofutilia ccm miaka hamsini mnatufanyia hivi kweli watanzania hii sio haki mkapumzike sasa View attachment 1559405
Kama wewe unavyomfuatilia Lissu!Huu ni wakati wa kampeni so lazima wananchi tusikilize wagombea wana sera gani?Asanteni sana Bavicha kwa kumfuatilia mheshimiwa Rais kila anapoenda
Mzee kapgwa Juju?Kamati ya ufundi iko vizuri
alikuwa anajua ni Ezekiel MaigeNimemsikia nikafikiria labda kuna Ezekiel mwingne. Kumbe ndo amechapia.
Ya Morogoro yatajirudia sana!! Ndio maana inabidi wajipitishe bila kupingwa!!!Kichekesho kimetokea kwa Mheshimiwa Magufuli alipokuwa anapiga kampeni mjini Musoma. Bila kujua akajikuta ana mpigia kampeni Ezekieli Wenje kuchaguliwa kuwa mbunge wa Rorya akidhani ndio jina LA mgombea wa CCM.
Hii inatokana na jina LA Wenje kumtesa moyoni.
Clip inafuata
Ha ha ha ha kada una matatizo wewe sio bure.Tv za ufipa huwa zinatoa tafsiri kwa Lugha wanayoielewa wao.
Bavicha bwana nadhani wanalugha yao maalum ya mawasiliano , mtu anasema hivi wao wanakuja na tafsiri yao ya kustaajabisha sana yaani mpaka unajiuliza hii wameitoa wapi.Ha ha ha ha kada una matatizo wewe sio bure.
😅😅😅lete clip naona wikendi hii wagombea wa ccm sijui wamekunywa gongo yaani full vichekesho tu.Kichekesho kimetokea kwa Mheshimiwa Magufuli alipokuwa anapiga kampeni mjini Musoma. Bila kujua akajikuta ana mpigia kampeni Ezekieli Wenje kuchaguliwa kuwa mbunge wa Rorya akidhani ndio jina LA mgombea wa CCM.
Hii inatokana na jina LA Wenje kumtesa moyoni.
Clip inafuata
Hachomoki huyu mzee. Amechanganyikiwa mapema.Huyu mzee leo ni siku ya kumi tu ila ameshaelemewa vibaya. Yani zimebaki Sikh 50 aisee tutaona mengi