Mgombea uraisi akiwa kwenye mkoa, anaita wagombea wote wa mkoa huo! Kwa mfano kama alimwita Wenje akiwa Musoma ni kwa kuwa Rorya ipo Mara pia!Hivi JPM alifika Rorya? Au mnatengeza propaganda za kitoto na kujiaibisha? Maana mmekuwa kama watoto.
Ccm pekee ndio wana uhakika wakuwa kwenye daftari la wapiga kuraAcheni kubwabwaja habari za uwongo,kwanza mnauhakika kwenye daftari la wapiga kura mmo?
Mbona jana hatukusikia hili? Na hapo mmeandika akiwa Rorya!Mgombea uraisi akiwa kwenye mkoa, anaita wagombea wote wa mkoa huo! Kwa mfano kama alimwita Wenje akiwa Musoma ni kwa kuwa Rorya ipo Mara pia!
Tulieni basi mtaona mziki wake.Ccm pekee ndio wana uhakika wakuwa kwenye daftari la wapiga kura
Mbona jana hatukusikia hili? Na hapo mmeandika akiwa Rorya!
Acheni kubwabwaja habari za uwongo,kwanza mnauhakika kwenye daftari la wapiga kura mmo?
Hivi JPM alifika Rorya? Au mnatengeza propaganda za kitoto na kujiaibisha? Maana mmekuwa kama watoto.
Kumbe ni Ezeckiel mwingine,sio Ezeckiel Dibogo Wenje.
Huyo Ezekiel mwingine wa Rorya unayemjua ambaye anagombea ni nani?Kumbe ni Ezeckiel mwingine,sio Ezeckiel Dibogo Wenje.
Hata kama,mwanadamu kusahau ni kawaida,isiwe ajabu kwa Magufuli.Huyo Ezekiel mwingine wa Rorya unayemjua ambaye anagombea ni nani?
Vipi amekuwekea hiyo clip? Unadanganywa kirahisi hivyo!
Tulia dawa ikuingie anko Magu keshapigwa ndumba sina haja ya clip bali naifuatilia anachokifanya ktk kampeni zake yaani yupo kama kanywesha nusu kaputi vile 😂😂😂
Ha ha ha haaaa.. Mzee Meko alifikiri kuwa Wenje naye kaunga mkono juhudi...Kichekesho kimetokea kwa Mheshimiwa Magufuli alipokuwa anapiga kampeni mjini Musoma.
Bila kujua akajikuta ana mpigia kampeni Ezekia Dibogo Wenje kuchaguliwa kuwa mbunge wa Rorya akidhani ndio jina la mgombea wa CCM.
Hii inatokana na jina la Wenje kumtesa moyoni. Mgombea wa CCM anaitwa Jafari Wambura Chege
Ezekia Wenje aliwahi kuwa Mbunge wa Nyamagana 2010-2015 Jijini Mwanza
View attachment 1560691