Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,650
- 102,684
@Mshana Jr utadhani mzee kapigwa zongo ili akili ijichanganye.
Anachapia sio mchezo
Hiyo ndio sababu Magufuli alipiga marufuku shughuli za kisiasa nchi nzima. Maana huwa hawezi siasa za ushindani na anapenda kuhodhi kila kitu. Sasa anapokutana na joto la ushindani huwa anapanick mpaka anaongea vitu vya ajabu. Na hapo bado, ngoja kampeni zitimie siku 30 atakuwa ametoka nje ya reli kabisa. Funga kazi ngoja ufanyike mdahalo kisha yeye awe ni sehemu ya watakaoshambuliwa, hapo ndio atapoteza nguvu kabisa. Atakuwa akipanda majukwaani itakuwa ni full kujichanganya na jazba za waziwazi.