Pombe inavyoharibu ubongo wabinadamu

mi siamini kama pombe ina madhara kama tunavyotaka kuaminishwa,there must be a limit,lakini bia moja au tatu sioni tatizo,hii ni kama ambayo inajulikana kuwa too much of any thing is harmful.naomba mtueleze ukinywa pombe alcohol ngapi au chupa ngapi mwilini ndo madhara,lakini sio kuja na generalization kuwa kunywa pombe ina madhara,kwani kutumia simu hakuna madhara,nyama je,sukari je,soda je,kiyoyozi je?
 
Juzi ulisema soda, leo pombe...kesho najua utasema maji ni sumu, manake kuna mtu humuhumu alisema ukiwa na kiu sana basi usinywe maji mpaka iishe yenyewe ndipo unywe maji...akitolea mfano kwamba hata gari iliyosafiri muda mrefu usiiongezee maji kwani unaiua fasta!!
jiwe limepiga mtu hapa.......hhahahahahaahahah
 
Biere ya kumi na mbili hii na ubongo bado uko fiti.....

[SUP]25[/SUP]Usijioneshe kuwa hodari wa kunywa kileo,
yaani, mvinyo imewaangamiza wengi.

[SUP]26[/SUP]Tanuru hujaribu kazi ya mhunzi,
na mvinyo mioyo ya watu,
katika ugomvi na wenye viburi.

[SUP]27[/SUP]kwa wanadamu mvinyo ni ama maji ya uzima,
ukinywa kwa kiasi.
Je, anao uzima gani mtu asiye na mvinyo?
Nayo imeumbwa ili kuwafurahisha wanadamu.

[SUP]28[/SUP]Mvinyo ni furaha ya moyo na changamko ya roho,
ikinywewa kwa wakati wake na ya kutosha.

[SUP]29[/SUP]Lakini kunywa mno ni uchungu wa roho,
na fedheha na ugomvi.

[SUP]30[/SUP]Kileo humzidishia mpumbavu mitego ya kumletea hasara;
hupunguza nguvu, na zaidi huleta jeraha.

[SUP]31[/SUP]Usimkaripie jirani yako penye karamu ya mvinyo,
wala usimdhihaki anapocheka;
wala usimwambie neno la shutuma,
wala usimnyeye kwa kutaka alipe deni.


Yoshua Bin Sira 31:25-31

 
naunga mkono hoja asante sana MZIZI MKAVU kwa ushauri na darasa ulilo yupa leo maana na mimi naenda kuelimisha huko niendako
 
[SUP]25[/SUP]Usijioneshe kuwa hodari wa kunywa kileo,
yaani, mvinyo imewaangamiza wengi.

[SUP]26[/SUP]Tanuru hujaribu kazi ya mhunzi,
na mvinyo mioyo ya watu,
katika ugomvi na wenye viburi.

[SUP]27[/SUP]kwa wanadamu mvinyo ni ama maji ya uzima,
ukinywa kwa kiasi.
Je, anao uzima gani mtu asiye na mvinyo?
Nayo imeumbwa ili kuwafurahisha wanadamu.

[SUP]28[/SUP]Mvinyo ni furaha ya moyo na changamko ya roho,
ikinywewa kwa wakati wake na ya kutosha.

[SUP]29[/SUP]Lakini kunywa mno ni uchungu wa roho,
na fedheha na ugomvi.

[SUP]30[/SUP]Kileo humzidishia mpumbavu mitego ya kumletea hasara;
hupunguza nguvu, na zaidi huleta jeraha.

[SUP]31[/SUP]Usimkaripie jirani yako penye karamu ya mvinyo,
wala usimdhihaki anapocheka;
wala usimwambie neno la shutuma,
wala usimnyeye kwa kutaka alipe deni.


Yoshua Bin Sira 31:25-31


Mkuu MziziMkavu, naamini umeelewa somo la Yoshua, kunywa mvinyo upate afya lakini kunywa kwa kiasi. Hebu soma tena kwa utulivu utagundua red wine is good for you
 
Last edited by a moderator:
huu uzi kwanini nimeusoma,utasababisha kupunguza uaminifu wangu kwa gambe.,no that won't happen any time soon
 
Ni dhahiri kabsa kuwa pombe hupunguza uwezo wa kufikiri,tunategemea akili katka kufanya mambo mengi so upunguzapo uwezo wa kufikiri hata mipango thabiti maishani ya kimaendeleo nayo hupngua pia,kwanini mtu ucboreshe afya kwa vinywaji vingine mpaka pombe haina faida.
 
Wakuu,

Hapa ukubali usikubali ndivyo ilivyo, kwamba kuna bifu kubwa sana kati ya pombe na ubongo na ndio maana mtu ukinywa pombe yoyote na ikienda kwenye ubongo tu, lazima utalewa na kuchanganyikiwa kwa kuongea ovyo ovyo, kufanya vurugu na matendo mengine ya ajabu.

Ndio maana nauliza, kuna bifu gani kati ya ubongo na pombe?
 
Ili ubongo ufanye kazi kwa makini unahitaji kuchochewa, ubongo ukichochewa na kuwa makini unakuwa unakuzuia kufanya ya ovyo na kukuelekeza kufanya ya staha.

Pombe huzuia kemikali inayochochea ubongo kufanya kazi, hivyo ubongo unakuwa kama gari iliyokosa breki. Watu wengi hufikiri pombe huchangamsha ubongo, wakati ukweli ni kuwa pombe huzuia ubongo usipige kazi barabara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom