Pombe inaharibu maisha yangu nisaidieni

Pombe inaharibu maisha yangu nisaidieni

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,856
Reaction score
4,084
Mambo vipi ndugu zangu?

Leo nimekuja kwenu nipate ushauri maana napitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yangu kutokana na ulevi wa kupindukia, labda nianze tu kwa kuwapa historia fupi tu ya maisha yangu nilivyoanza kunywa pombe

Kunywa pombe nilianza 2016 nikiwa chuo kikuu na nilianza tu kwa ushawishi wa makundi mabaya na nilianza na pombe kali kwa iyo ilipelekea kuwa nakunywa pombe kali tu na nilikuwa naimudu fresh japo kuzingua ilikuwa mara moja na nimeendelea na pombe hadi leo hii na imeniletea shida nyingi kiuchumi na kiafya tangu kipindi icho maana nimechezea pesa nyingi sana kwa kunywa pombe na ngono nzembe maana nikinywa tu pombe tangu enzi za chuo lazima nitafute mwanamke wa kulala nae na kupelekea mara nyingi kuibuka na magonjwa kama UTI na gono nishawahi pata mara moja

Sasa tangu niingie mtaani na kuanza maisha ya utumishi wa umma imekuwa ni shida tena baada ya kwenda kufanya kazi wilaya fulani kwa wasambaa maana baada ya kwenda kule ndo ulevi ukazidi yaani nikiwa na hela tu akili inanipeleka kwenye pombe yaani mshahara wote unaishia kwenye pombe na ngono tena na malaya wanaojiuza na nikilewa sasa ni kama nakuwa nachanganyikiwa nachezea pesa balaa naweza jikuta nimetumia ata 100k kwa usiku mmoja,kingine ni kupoteza vitu yaani nishawahi kupoteza simu 3 ivi,na card ya benki,pia, nishaokotwa kalibu mara 2 nikiwa Bar nimezima sijitambui watu wananisaidia

Yaani pombe imenikataa kabisa na nimeshakuwa addicted nayo mbaya zaidi natumia izi pombe kali kama konyagi,kvant nk yaani kila nikijaribu kuacha naweza kuacha week 1 ila nikirudi inakuwa ndo toomuch

Nahitaji kuacha kwa sababu pombe inanifanya kuwa maskini na inaharibu afya yangu, akili na uchumi wangu,mi ni mtumishi wa umma na nalipwa six figure salary kila mwezi ila ukinikuta navyoishi ni kama mtu wa ovyo yaani nazidiwa maisha ata na bodaboda maana hela zote zinaishia kwenye pombe na malaya badala ya kufanya maendeleo, pia nahitaji kuacha maana nakoelekea pia naweza jisababishia matatizo kama kurukwa na akili,magonjwa ,kifo na kuishi maisha ambayo nayachukia.

Na kuna muda hadi najuta kwenda iyo wilaya ya wasambaa kufanya kazi yangu ya kwanza maana ni kama nilirogwa vile maana kule ulevi uliopindukia ulianzia na kupoteza vitu kulianzia uko plus vitisho vya kurogwa mara kibao,imagine kila ukitaka kwenda job unasikia kizungu zungu .

Naombeni msaada najitoaje kwenye ili janga maana nahitaji kuacha pombe ila ni kama kuna minyororo ya umasikini imenishika kila nikiwa na hela inanipeleka kwenye pombe na nakuwa sijitambui kabisa akili zinarudi nikishamaliza pesa na najuta sana ila nikipata hela tu akili ni kama inafungwa narudia yale yale na mbaya zaidi.
 
POLE MKUU

Ni ngumu kuacha pombe ila ni rahisi kubadirisha mindset inayokutuma uifate ile pombe.

Hakika hakuna namna yoyote ile zaidi ya kushinda zimwi lenyewe ambalo ni wewe na wala sio pombe.

Kuna watu wengi wameacha pombe , sio kwamba wamepewa dawa wala nini ila waliamua kuishinda kiu kwa kuishinda fikra zao.

Waganga watakula hela zako
Wachungaji feki na mashehe ubwabwa watamaliza pesa zako.

🔥Meditate and pray , haswa mida ya 8 usiku hadi kumi alfajiri

🔥Cha kwanza acha kuona tulizo lako ni mitungi

🔥Badirisha mazingira ambayo yanakuchochea upige mitungi

🔥Achana na marafiki wanaokupa kampani hio

🔥Acha kuona kuwa umeshakuwa mtumwa wa ngono na hakuna namna yoyote unaweza fanya.

🔥 Kama hali ni mbaya mnoo tafuta Sober house ukae hata miezi 6

BILA KUFANYA HIVI TUTAKUZIKA MAPEMA
 
Mambo vipi ndugu zangu?

Leo nimekuja kwenu nipate ushauri maana napitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yangu kutokana na ulevi wa kupindukia, labda nianze tu kwa kuwapa historia fupi tu ya maisha yangu nilivyoanza kunywa pombe

Kunywa pombe nilianza 2016 nikiwa chuo kikuu na nilianza tu kwa ushawishi wa makundi mabaya na nilianza na pombe kali kwa iyo ilipelekea kuwa nakunywa pombe kali tu na nilikuwa naimudu fresh japo kuzingua ilikuwa mara moja na nimeendelea na pombe hadi leo hii na imeniletea shida nyingi kiuchumi na kiafya tangu kipindi icho maana nimechezea pesa nyingi sana kwa kunywa pombe na ngono nzembe maana nikinywa tu pombe tangu enzi za chuo lazima nitafute mwanamke wa kulala nae na kupelekea mara nyingi kuibuka na magonjwa kama UTI na gono nishawahi pata mara moja

Sasa tangu niingie mtaani na kuanza maisha ya utumishi wa umma imekuwa ni shida tena baada ya kwenda kufanya kazi wilaya fulani kwa wasambaa maana baada ya kwenda kule ndo ulevi ukazidi yaani nikiwa na hela tu akili inanipeleka kwenye pombe yaani mshahara wote unaishia kwenye pombe na ngono tena na malaya wanaojiuza na nikilewa sasa ni kama nakuwa nachanganyikiwa nachezea pesa balaa naweza jikuta nimetumia ata 100k kwa usiku mmoja,kingine ni kupoteza vitu yaani nishawahi kupoteza simu 3 ivi,na card ya benki,pia, nishaokotwa kalibu mara 2 nikiwa Bar nimezima sijitambui watu wananisaidia

Yaani pombe imenikataa kabisa na nimeshakuwa addicted nayo mbaya zaidi natumia izi pombe kali kama konyagi,kvant nk yaani kila nikijaribu kuacha naweza kuacha week 1 ila nikirudi inakuwa ndo toomuch

Nahitaji kuacha kwa sababu pombe inanifanya kuwa maskini na inaharibu afya yangu ,akili na uchumi wangu,mi ni mtumishi wa umma na nalipwa six figure salary kila mwezi ila ukinikuta navyoishi ni kama mtu wa ovyo yaani nazidiwa maisha ata na bodaboda maana hela zote zinaishia kwenye pombe na malaya badala ya kufanya maendeleo, pia nahitaji kuacha maana nakoelekea pia naweza jisababishia matatizo kama kurukwa na akili,magonjwa ,kifo na kuishi maisha ambayo nayachukia.

Na kuna muda hadi najuta kwenda iyo wilaya ya wasambaa kufanya kazi yangu ya kwanza maana ni kama nilirogwa vile maana kule ulevi uliopindukia ulianzia na kupoteza vitu kulianzia uko plus vitisho vya kurogwa mara kibao,imagine kila ukitaka kwenda job unasikia kizungu zungu .

naombeni msaada najitoaje kwenye ili janga maana nahitaji kuacha pombe ila ni kama kuna minyororo ya umasikini imenishika kila nikiwa na hela inanipeleka kwenye pombe na nakuwa sijitambui kabisa akili zinarudi nikishamaliza pesa na najuta sana ila nikipata hela tu akili ni kama inafungwa narudia yale yale na mbaya zaidi.
ntaufuata ushari ila nilichogundua kinachonisumbua nikiwa iddle muda mrefu ndo inanipelekea kwenye pombe ila nilirudi nyumbani kwetu nilikaa mwezi sijanywa
 
Anza kusali kila siku kuanzia saa 6-9 usiku angalau hata kwa dakika 1 tu inatosha mbele za Mungu. Mlililie Mungu wako atakuponya na kukuvusha katika hilo jaribu.
Jitahidi pia kilasiku au angalau ×3 kwa wiki kwenda kanisani kuhudhuria ibada mbalimbali zilizopo, ukiona inafaa onana na kiongozi wa dini yako mshirikishe unahitaji maombi ya namna gani.
Epuka urafiki au ukaribu na watu wenye tabia za ulevi na uzinzi, najua itakuwa ngumu ila ukifanikiwa kujikaza kwa wiki au mwezi utakuwa umejinasua kiasi fulani.
Amini nakuambia ndani yako una kitu kikubwa ambacho shetani hataki kionekane mbele ya uso wa dunia, kwasababu sikuzote shetani hamuingizi mtu fala bwege ktk matatzo.
Huna pakukimbilia kupata msaada kwasasa zaidi ya kumrudia Mungu tu 🙏
 
Sense of who you are

Hapo bora umasikini hiyo hali haitishi Kama ukiua maini na figo na moyo.

Kwahiyo hapo njia ya kuanza kujinasua huko tumia ile kanuni inaitwa PPT ambayo huwa wanatumia watu ambao wapo addicted na drugs , sex , Alcoholic n.k

PPT means

People
Place
Things

Uki-maintain hivi either utaacha au utapunguza , then kuna ile inaitwa Meditation na yenyewe ni tiba kwakuwa ulevi ni matatizo ya akili , akili inakuwa haipo sawa.

Pole Sana nakuelewa Sana unapokuwa useless Man inaumiza na hapo bora upo na ajira Ila ungekuwa Una-run business ungekuwa umeshafirisika kitambo .

So be smart and know what keep and what to throw .

Muda mwingine unabidi kuwa unatoka ndani yako na kujitazama na kujiuliza who is this guy .
 
Hujaamua tu kuacha kiongozi,siku ukiamua utaacha kama ulivyoanza kunywa.Kula biaaaaaaaaa achana na hizo pombe kali(mafuta ya taa)
nahitaji kuacha sitaki kuacha nikiwa jobless maana dalili mbaya nishaziona nikikesha kwenye pombe lazima nichelewe kazini na nikifika job nateseka na hangover na sifanyi kazi siku iyo nakuwa kama zombie fulani
 
Nakuamuru kwa jina la yesu na kwa kibali nilichopewa Acha pombe kuanzia Leo na Anza ratiba ya kunywa maji safi ya baridi...

NB:sio lazima uache Leo au mwaka huu ila kwa sala niliyoitoa Mimi nabii Acha mwakani..mwaka huu kunywa kunywa ila bia Tu walahu mara nne kwa week
 
Sense of who you are

Hapo bora umasikini hiyo hali haitishi Kama ukiua maini na figo na moyo.

Kwahiyo hapo njia ya kuanza kujinasua huko tumia ile kanuni inaitwa PPT ambayo huwa wanatumia watu ambao wapo addicted na drugs , sex , Alcoholic n.k

PPT means

People
Place
Things

Uki-maintain hivi either utaacha au utapunguza , then kuna ile inaitwa Meditation na yenyewe ni tiba kwakuwa ulevi ni matatizo ya akili , akili inakuwa haipo sawa.

Pole Sana nakuelewa Sana unapokuwa useless Man inaumiza na hapo bora upo na ajira Ila ungekuwa Una-run business ungekuwa umeshafirisika kitambo .

So be smart and know what keep and what to throw .

Muda mwingine unabidi kuwa unatoka ndani yako na kujitazama na kujiuliza who is this guy .
ntaufuata ushauri mkuu
 
Mambo vipi ndugu zangu?

Leo nimekuja kwenu nipate ushauri maana napitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yangu kutokana na ulevi wa kupindukia, labda nianze tu kwa kuwapa historia fupi tu ya maisha yangu nilivyoanza kunywa pombe

Kunywa pombe nilianza 2016 nikiwa chuo kikuu na nilianza tu kwa ushawishi wa makundi mabaya na nilianza na pombe kali kwa iyo ilipelekea kuwa nakunywa pombe kali tu na nilikuwa naimudu fresh japo kuzingua ilikuwa mara moja na nimeendelea na pombe hadi leo hii na imeniletea shida nyingi kiuchumi na kiafya tangu kipindi icho maana nimechezea pesa nyingi sana kwa kunywa pombe na ngono nzembe maana nikinywa tu pombe tangu enzi za chuo lazima nitafute mwanamke wa kulala nae na kupelekea mara nyingi kuibuka na magonjwa kama UTI na gono nishawahi pata mara moja

Sasa tangu niingie mtaani na kuanza maisha ya utumishi wa umma imekuwa ni shida tena baada ya kwenda kufanya kazi wilaya fulani kwa wasambaa maana baada ya kwenda kule ndo ulevi ukazidi yaani nikiwa na hela tu akili inanipeleka kwenye pombe yaani mshahara wote unaishia kwenye pombe na ngono tena na malaya wanaojiuza na nikilewa sasa ni kama nakuwa nachanganyikiwa nachezea pesa balaa naweza jikuta nimetumia ata 100k kwa usiku mmoja,kingine ni kupoteza vitu yaani nishawahi kupoteza simu 3 ivi,na card ya benki,pia, nishaokotwa kalibu mara 2 nikiwa Bar nimezima sijitambui watu wananisaidia

Yaani pombe imenikataa kabisa na nimeshakuwa addicted nayo mbaya zaidi natumia izi pombe kali kama konyagi,kvant nk yaani kila nikijaribu kuacha naweza kuacha week 1 ila nikirudi inakuwa ndo toomuch

Nahitaji kuacha kwa sababu pombe inanifanya kuwa maskini na inaharibu afya yangu ,akili na uchumi wangu,mi ni mtumishi wa umma na nalipwa six figure salary kila mwezi ila ukinikuta navyoishi ni kama mtu wa ovyo yaani nazidiwa maisha ata na bodaboda maana hela zote zinaishia kwenye pombe na malaya badala ya kufanya maendeleo, pia nahitaji kuacha maana nakoelekea pia naweza jisababishia matatizo kama kurukwa na akili,magonjwa ,kifo na kuishi maisha ambayo nayachukia.

Na kuna muda hadi najuta kwenda iyo wilaya ya wasambaa kufanya kazi yangu ya kwanza maana ni kama nilirogwa vile maana kule ulevi uliopindukia ulianzia na kupoteza vitu kulianzia uko plus vitisho vya kurogwa mara kibao,imagine kila ukitaka kwenda job unasikia kizungu zungu .

naombeni msaada najitoaje kwenye ili janga maana nahitaji kuacha pombe ila ni kama kuna minyororo ya umasikini imenishika kila nikiwa na hela inanipeleka kwenye pombe na nakuwa sijitambui kabisa akili zinarudi nikishamaliza pesa na najuta sana ila nikipata hela tu akili ni kama inafungwa narudia yale yale na mbaya zaidi.
Uchumi wa nchi unajengwa na wanywa pombe, ukiacha pombe maana yake unataka serikali ikose mapato. Tunakuombea uongeze unywaji.
 
Uchumi wa nchi unajengwa na wanywa pombe, ukiacha pombe maana yake unataka serikali ikose mapato. Tunakuombea uongeze unywaji.
Na hizo kodi ndo hizi wanasiasa wanachezea wananunua V8 na latest cars huku wewe unaua maini na figo

Hizo kodi mnazolipa kupitia pombe wanasiasa wanajenga mansion na kutembelea latest cars huku wewe ukiharibu Maini , Figo na moyo na kukaribisha pressure na kisukari.

Kama mnavyowaona hao the owner wa Viwanda vya pombe , mfano Mlokozi n.k wanatajirika kwa kuua na kuharibu Afya za watu.


This game is for low minded people , kunywa ikiwa unajua utaweza kujitibia .

Na hauwezi kusikia Kuwa kupitia kodi za pombe wamenunua Mashine ya kusafisha figo.

Na hao tax collectors hata wakiumwa wanatibiwa nje na BIMA zao ni kubwa sana
 
we jamaa nahitaji kuacha
Kwanza cha kwanza tuache kampani maisha yamebadilika kwanini uende bar ukapoteze 50000 au laki na 80% ya hela wamekunywa watu Baki


Pili..tujiulize kwanini miili yetu imekuwa sugu sana yaani bia tano huridhiki hushtuki.konyagi bapa hulewi unalinywa kama maji wakati kimsingi ilitakiwa kasichana kadogo labda na kanusu uwe umechangamka na kutosheka.

3.tufanye mazoezi huwa yanachosha na kufanya upate usingiz maana walevi wengi Tunakunywa ili tukifika bed tusipate mawazo tudondoshe moja kwa moja
 
Mambo vipi ndugu zangu?

Leo nimekuja kwenu nipate ushauri maana napitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yangu kutokana na ulevi wa kupindukia, labda nianze tu kwa kuwapa historia fupi tu ya maisha yangu nilivyoanza kunywa pombe

Kunywa pombe nilianza 2016 nikiwa chuo kikuu na nilianza tu kwa ushawishi wa makundi mabaya na nilianza na pombe kali kwa iyo ilipelekea kuwa nakunywa pombe kali tu na nilikuwa naimudu fresh japo kuzingua ilikuwa mara moja na nimeendelea na pombe hadi leo hii na imeniletea shida nyingi kiuchumi na kiafya tangu kipindi icho maana nimechezea pesa nyingi sana kwa kunywa pombe na ngono nzembe maana nikinywa tu pombe tangu enzi za chuo lazima nitafute mwanamke wa kulala nae na kupelekea mara nyingi kuibuka na magonjwa kama UTI na gono nishawahi pata mara moja

Sasa tangu niingie mtaani na kuanza maisha ya utumishi wa umma imekuwa ni shida tena baada ya kwenda kufanya kazi wilaya fulani kwa wasambaa maana baada ya kwenda kule ndo ulevi ukazidi yaani nikiwa na hela tu akili inanipeleka kwenye pombe yaani mshahara wote unaishia kwenye pombe na ngono tena na malaya wanaojiuza na nikilewa sasa ni kama nakuwa nachanganyikiwa nachezea pesa balaa naweza jikuta nimetumia ata 100k kwa usiku mmoja,kingine ni kupoteza vitu yaani nishawahi kupoteza simu 3 ivi,na card ya benki,pia, nishaokotwa kalibu mara 2 nikiwa Bar nimezima sijitambui watu wananisaidia

Yaani pombe imenikataa kabisa na nimeshakuwa addicted nayo mbaya zaidi natumia izi pombe kali kama konyagi,kvant nk yaani kila nikijaribu kuacha naweza kuacha week 1 ila nikirudi inakuwa ndo toomuch

Nahitaji kuacha kwa sababu pombe inanifanya kuwa maskini na inaharibu afya yangu ,akili na uchumi wangu,mi ni mtumishi wa umma na nalipwa six figure salary kila mwezi ila ukinikuta navyoishi ni kama mtu wa ovyo yaani nazidiwa maisha ata na bodaboda maana hela zote zinaishia kwenye pombe na malaya badala ya kufanya maendeleo, pia nahitaji kuacha maana nakoelekea pia naweza jisababishia matatizo kama kurukwa na akili,magonjwa ,kifo na kuishi maisha ambayo nayachukia.

Na kuna muda hadi najuta kwenda iyo wilaya ya wasambaa kufanya kazi yangu ya kwanza maana ni kama nilirogwa vile maana kule ulevi uliopindukia ulianzia na kupoteza vitu kulianzia uko plus vitisho vya kurogwa mara kibao,imagine kila ukitaka kwenda job unasikia kizungu zungu .

naombeni msaada najitoaje kwenye ili janga maana nahitaji kuacha pombe ila ni kama kuna minyororo ya umasikini imenishika kila nikiwa na hela inanipeleka kwenye pombe na nakuwa sijitambui kabisa akili zinarudi nikishamaliza pesa na najuta sana ila nikipata hela tu akili ni kama inafungwa narudia yale yale na mbaya zaidi.
Mzee LordLofa aka road lofa.

Pombe ni kiburudisho kizuri kinapotumiwa kwa kiasi. Ubaya wa pombe ni kushindwa kuidhibiti. Na zaidi pombe kali. Ukishaanza kuibwia kama maji lazima jumatatu ziwe chungu.

Kuacha kuwa busy na mambo mengine.
1. Badili marafiki.
2. Anza kusali usiku.
3. Fanya mazoezi.
4. Anzisha miradi ya kuwekeza hata kama upo busy anza na UTT ili hela isikae kwako na kupotea.
5. Oa tafuta mwanamke uoe tena wa mbali sio wa mazingira hayo.
6. Kama umepanga hama unapoishi kwa sasa. Tatzo mikoani mji mzima mnajuana tena kama wazigua ndio kabsa...
6.
 
Back
Top Bottom