Pombe imevunja ndoa yangu

Yaani we mwizi ulienaswa bado unsuspect mwenzio
 
aiseee kwahiyo mkeo alichagua sehemu Salama zaidi yako..sasa ilikuwaje mpka ukamfumania na ulimfumania wapi ??
then isijekuwa ulikuwa na makando kando mengi mtu wa michepuko isiyoisha idadi then mkeo nae alipouona muelekeo wako kuwa nihuo akaona atafute mtu wakumfariji
 
aiseee kwahiyo mkeo alichagua sehemu Salama zaidi yako..sasa ilikuwaje mpka ukamfumania na ulimfumania wapi ??
then isijekuwa ulikuwa na makando kando mengi michepuko isiyoisha idadi then mkeo nae akaona atafute mtu wakumfariji
Mungu anajua na atahukumu kwa haki mimi sitajibu assuptions zako mungu atajibu ukiweza mwulize Mungu juu ya makando kando au mapungufu yangu atakujibu. Siwezi jitetea binafsi Mungu ndiyo mtetezi wangu.
 
nimeshaomba msamaha huko nyuma kama mara 100....ameshanichoka
dadeq ..muache mtoto wawatu aende tu..bado hujaitambua thamani yake ..nadhani uliharakia kuoa pasipo kujua mantiki yenyewe halisi ya ndoa..mkuu ombo haijawahi kuridhika hata Sikh moja ukiiendekeza lazima itakupatia majuto tu..imagine waweza toka kumla demu mkali sura nzuri tako hilo
lakini akiondoka kisha baàda ya muda mfupi ukikutana na mwanamke mwingine mkali kichwa kinasimama
 
Mlokole anatakaje talaka kisa pombe tu? Kashindwa kukuombea ubadilike?
hahaa maombi mengine hata MUNGU huwa anasusa kuyapokea..ngono kwenye gari kisha unabambwa namkeo...what a shame..!!?
 
Mungu anajua na atahukumu kwa haki mimi sitajibu assuptions zako mungu atajibu ukiweza mwulize Mungu juu ya makando kando au mapungufu yangu atakujibu. Siwezi jitetea binafsi Mungu ndiyo mtetezi wangu.
haya mkuu nimekuelewa ..ngoja nisikukumbushe ya kale
 
Nyinyi ndio mnasababisha watu waione pombe mbaya sasa hapo iliyovunja ndoa yako ni pombe ama nyapu
 
mwambie unajua kuoa tu,kyacha hujui
 
Uuuuuwiuuuuii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…