ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,233
- 2,159
Usitoe Talaka... Ukiona Mwanamke anakudai Talaka kuondoka kwako ujue huyo alikuwa na Mwanaume ambaye anataka kukureplace as soon as possible.. Kikubwa kausha na uchune asepe na wewe wakati huo ukitafua njia na jinsi ya kujutia kosa lako na kufanya njia ya kujirekebisha... au mpe likizo ila kikubwa usibishane naye uchune yeye ndiyo awe muanziishiNimekuwa nikinywa pombe mfululizo....majuzi mke wangu akanifumania mitaa ya Goba nikiwa nagonga nyapu(jirani yetu) kwenye gari....akachukua picha kama ushahidi....mimi nikiwa bwaksi kabisa...mke kapeleka ushahidi kwa ndugu na jamaa na wazazi....miongoni mwao wamemshauri abwage manyanga.....sasa amenitolea macho anataka talaka very serious sababu hii siyo mara ya kwanza....tuna watoto.....mimi nakaa mkoani familia inakaa hapa Dar......bado natafakari...kuna mtu imeshamtokeage hii wadau? mliishiaje?
Mimi nilimfumania mke wangu nikamwambia aendelee tuu na huyo mwanaume niliyemfuma naye nipo Dar miaka kadhaa duh namwona mke wangu wanaishi vizuri sana na yule mwanaume japo iliniuma nafurahi jamaa anamtunza kuliko mimi amenenepa kama mbuyu. Bila shaka na wewe utanenepa ila sijajua kama mbuyu au kama sindano.Nimekuwa nikinywa pombe mfululizo, majuzi mke wangu akanifumania mitaa ya Goba nikiwa nagonga nyapu(jirani yetu) kwenye gari akachukua picha kama ushahidi, mimi nikiwa bwaksi kabisa.
Mke kapeleka ushahidi kwa ndugu na jamaa na wazazi, miongoni mwao wamemshauri abwage manyanga.
Sasa amenitolea macho anataka talaka very serious sababu hii siyo mara ya kwanza tuna watoto, mimi nakaa mkoani familia inakaa hapa Dar.
Bado natafakari kuna mtu imeshamtokeage hii wadau mliishiaje?
Mkuu siku mbili tatu hizi unatoa virungu vya maana !!!Waliendelea kula nyapu barabarani
Mkaruka, uli bhwakisi!!!!Nimekuwa nikinywa pombe mfululizo, majuzi mke wangu akanifumania mitaa ya Goba nikiwa nagonga nyapu(jirani yetu) kwenye gari akachukua picha kama ushahidi, mimi nikiwa bwaksi kabisa.
Mke kapeleka ushahidi kwa ndugu na jamaa na wazazi, miongoni mwao wamemshauri abwage manyanga.
Sasa amenitolea macho anataka talaka very serious sababu hii siyo mara ya kwanza tuna watoto, mimi nakaa mkoani familia inakaa hapa Dar.
Bado natafakari kuna mtu imeshamtokeage hii wadau mliishiaje?
Usitoe Talaka... Ukiona Mwanamke anakudai Talaka kuondoka kwako ujue huyo alikuwa na Mwanaume ambaye anataka kukureplace as soon as possible.. Kikubwa kausha na uchune asepe na wewe wakati huo ukitafua njia na jinsi ya kujutia kosa lako na kufanya njia ya kujirekebisha... au mpe likizo ila kikubwa usibishane naye uchune yeye ndiyo awe muanziishi
baada ya kulewa ikashuka chini..........sasa pombe inahusikaje hapo?
nimeshaomba msamaha huko nyuma kama mara 100....ameshanichokaMuombe msamaha wa kweli kuonesha kweli unajutia kosa lako
Kwanini huku a unakwenda kunywa na mkeo?
Mlokole anatakaje talaka kisa pombe tu? Kashindwa kukuombea ubadilike?mlokole sana...hanywi kabisa
espy msaidie huyu mkaka jaman amsahau mkewe !Mimi nilimfumania mke wangu nikamwambia aendelee tuu na huyo mwanaume niliyemfuma naye nipo Dar miaka kadhaa duh namwona mke wangu wanaishi vizuri sana na yule mwanaume japo iliniuma nafurahi jamaa anamtunza kuliko mimi amenenepa kama mbuyu. Bila shaka na wewe utanenepa ila sijajua kama mbuyu au kama sindano.