ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,235
- 2,124
utoto unakusumbua, ukimwi sio kifo, tena bora ukimwi kuliko kansa, kisukari.
Lakini siyo guarantee ya kufa.Ukimwi bado ni janga wadau msidanganyane nilishuhudia binti mdogo tu form two akipotea kisa HIV ya kuzaliwa nayo na aliugua in less than a week akaenda na afya yake na uzuri wake
Mkuu hatuwasemi ila si ugonjwa wa kuuchukulia poa kabisa life is never the same.lakini siyo guarantee ya kufa
Nije kukusindikiza kupima, mi nilipima Muhimbili. Nilipata bwana alitaka kunioa, nikamwambia tupime kwanza, tukaenda tukawa wote wazima ila nilivyorudi Moro home, nikamuacha urafiki mazima. Nilimchunguza muongomuongo, kujisifia pesa, nafanya kazi, kumbe si lolote nikitoa visenti ananiuliza we pesa unayo mi nanyamaza, namsoma. Kwangu angekuwa muwazi hakuna shida hata kama mchovu.ntaleta mrejesho wacha nile zoez la kuyapokea majibu
Ulete mrejesho Mkuu.naenda kupima mkuu, kma ntachomoka nimejifunza, kama nimenasa furaha bybye
kati hapa sjapiga gemu ya hatari,umakin umekuwa maradufuBosi kama kweli ulipima baada ya miezi miwili tangu ukutane na huyo manzi na ukakuta huna maambukizi basi inawezekana ukawa mzima mkuu siku 60 nyingi sana....pia hiyo hali upiyonayo inawezekana ikawa inasababishwa zaidi na hofu hivyo kila unachokiona unalinganisha na tukio lako kwahiyo hapo njia ya uhakika ni kupima tu.
Halafu pia utuambie je, tangu umeachana na huyo manzi hapo katikati haukuwahi kupiga gemu ya hatari?
nko pemba saiv nadhan november tar za kat ntakuwa moro ywn ntakuchek unieskot, nategemea nasha nzur toka kwako pindi nkikutwa nkoNije kukusindikiza kupima, mi nilipima Muhimbili. Nilipata bwana alitaka kunioa, nikamwambia tupime kwanza, tukaenda tukawa wote wazima ila nilivyorudi Moro home, nikamuacha urafiki mazima. Nilimchunguza muongomuongo, kujisifia pesa, nafanya kazi, kumbe si lolote nikitoa visenti ananiuliza we pesa unayo mi nanyamaza, namsoma. Kwangu angekuwa muwazi hakuna shida hata kama mchovu.
Kuna kipindi nilikuwa naona dalili zote za mimba kutapika, kulala sana period haikuji he he he he he kumbe ni hofu yangu tu.
Sina kitu.
[/QUOTE
umenikumbusha na mie yalinikuta nilikaa miezi 2 sioni period nikaanza wasi wasi mara naumwa asubuhi,mara kichefuchefu, mara uchovu upt naogopa kununua nicheck mwishoe period hii hapa. mwili una tabia ya kufatisha mawazo
kama ni mzima hakuna haja ya kwenda kupimaDaah!! Umenikumbusha mbali sana. Miaka fulani ya 2013 nipo chuo. Niliparamia manzi fuani pekupeku halafu baadaye ndiyo nakuja kugundua kuwa yule manzi ni dada poa (japo alikua mwanachuo).
Hiyo miezi mitatu ya kusubiri nipime nilikua nina kila dalili za kuungua na nilishuka uzito na kukonda ajabu. Magonjwa nyemelezi yote yalikua ya kwangu. Hii yote ilisababishwa na hofu. Lakini nilipiga moyo konde nikapima, nikakutwa nipo negative. Ndiyo kuanza kunenepa tena na magonjwa ya ajabu yakaondoka yenyewe..
Nikutie tu moyo mkuu, hiyo ni hofu yako tu. Wewe ni mzima, hebu kapime. Ninaamini hivyo.