Polycarp Kardinali Pengo kujiuzulu ndani ya miezi 22 ijayo

Makardinali ni wateule wa papa ambao mara nyingi ni maaskofu katoliki toka majimbo mbalimbali duniani na hawa huunda cardinal oclave baraza ambalo humchagua papa na kardinali akishafikisha miaka 80 hawaruhusiwi tena kupiga kura ya kumchagua papa
Makardinali huchukuliwa kama washauri wa papa kuhusu maswala ya kiimani na mambo mengine yahusuyo kanisa katoliki
Barikiwa sana mura
 
Kaisa Katoliki siyo chama au taasisi. Kuhusu sheria ipo lakini kwa sababu huna adabu ninakuacha na ujinga wako. Ungeuliza kwa adabu ningekupa kifungu.
Ww ni muongo tena ni jinga huna unalolijua juu ya kanisa katoliki ungekuwa unajua usingeongea upumbavu wa namna hiyo huna msitari wala upinde unaoujua juu ya kanisa katoliki la mitume.
 
Mkuu acha Uzushi Kardinali RUGAMBWA alistaafu akiwa na miaka 80 mtuache wakatoriki na taratibu zetu msiingize siasa katika kanisa letu

Kama sisi ambavyo hatukuwaingilia walutheri mgombea mmoja aliposema ni zamu ya walutheri kuwa na rais Tanzania wakatoriki tuliheshim maneno hayo yaliyotamkwa katika madhabahu yenu tulikaa kimya so pia mtuache na Pengo wetu
 
angesubir 2020 waende na sizonje wake, maana hatuwataki sisi
 
Mkuu acha Uzushi Kardinali RUGAMBWA alistaafu akiwa na miaka 80 mtuache wakatoriki na taratibu zetu msiingize siasa katika kanisa letu

Kama sisi ambavyo hatukuwaingilia walutheri mgombea mmoja aliposema ni zamu ya walutheri kuwa na rais Tanzania wakatoriki tuliheshim maneno hayo yaliyotamkwa katika madhabahu yenu tulikaa kimya so pia mtuache na Pengo wetu
huyo pengo wenu nikiewemo na mimi ndie analeta siasa
 
Mkuu acha Uzushi Kardinali RUGAMBWA alistaafu akiwa na miaka 80 mtuache wakatoriki na taratibu zetu msiingize siasa katika kanisa letu

Kama sisi ambavyo hatukuwaingilia walutheri mgombea mmoja aliposema ni zamu ya walutheri kuwa na rais Tanzania wakatoriki tuliheshim maneno hayo yaliyotamkwa katika madhabahu yenu tulikaa kimya so pia mtuache na Pengo wetu
Na hicho ndicho kimachofanya maprotestants wote wamchukie pengo, aliziba mianya ya fisadi mkuu kupenya ndani ya RC
 
Dah kweli mnahangaika sana,Pengo hajiuzuru huo umri ukifika anastaafu mbona siasa zinawafanya wapumbavu?,unajua tofauti ya kustaafu na kujiuzuru???,kuna umri wa kujiuzuru duniani?,kwanza unajua maana ya kujiuzuru?.. Dah,kweli jamii forums imeingiliwa.
Povu
 
Mimi sio mkatoliki,nilijua uaskofu mkuu Dar upo directly proportional to u kardinali.
Ukisha kuwa kardinali radhima ukae makao makuu ya kanisa kwa chi kwa tanzania makao makuu ya baraza la maaskofu tanzania ni Daresaalam kama atakuwa mfano Niwemugizi itabidia arudi makao makuu ya baraza la maaskofu tanzania na kuwa askofu mkuu wa jimbo hilo pia kardinal ili awe kardinal radhima kwanza awe askofu mkuu ndipo awe kardinali
 
Kazi ya huyu balozi mpya wa Papa ni kuhakikisha anachagua askofu gani atakayerithi D'Salaam baada ya Pengo. Hivyo ni lazima azisome siasa zinazotaliwa D'Salaam pia.
Mmhh mkuu balozi wa papa si anayechagua askofu wa mahalia,na kwa sababu dar ni jimbo kuu tegemea askofu kutoka jimbo jingine lolote la tanzania kupandishwa daraja na kuwa askofu mkuu kisha kuhamishiwa jimbo la dar
 
Kazi ya huyu balozi mpya wa Papa ni kuhakikisha anachagua askofu gani atakayerithi D'Salaam baada ya Pengo. Hivyo ni lazima azisome siasa zinazotaliwa D'Salaam pia.
Siyo laxima askofu anayefuata akawa cardinal maana cardinal siyo cheo rasmi ndani ya kanisa,kuna walei ni makadinali na kuna mapadre ni makadinali siyo lazima awe askofu tu
 
Okey,kumbe unaweza kuwa kardinali na usiwe askofu jimbo kuu DSM.
Hapana, ukiwa kardinali radhma ukakae makao makuu ya nchi ki kanisa kwa tanzania ni Daresaalamna radhma uwe askofu mkuu wa jimbokuu hilo ki sheria kardinali razima akae jimbo kuu la kitaifa.
 
Back
Top Bottom