Poll: Obama 2nd worst US president after Bush

Poll: Obama 2nd worst US president after Bush

maskini mkukuyu wa watu!

Nani alikudanganya kuwa ni Mkikuyu?

Acha kukariri wewe! Ile ni Jaluo bana au umesahau kwamba tulianza kumgombania kwamba bibi yake alitoka Tanzania? Hata hivyo potelea mbali hata kama atashindwa jamaa keshaandika historia ya kuwa Mmarekani wa kwanza mwenye asili ya Afrika kukaa Magogoni ya USA aliyemwangusha Mwamerika mzungu.
 
Hello Colleagues...

I know I am gonna hurt the feelings of some people.. whether you like to swallow this bitter pill or not... frankly speaking Obama is going to WIN... take it from me....
 
Jamaa mchakachuaji kweli. Tayari amewapa wazamiaji uwezo wa kuwa wamarekan hesabu hizo kura za wa hispanic na wazamiaji wengine wanao tegemea pia kupata. Ni zaidi ya kura m2 kwa wahusika na jamaa zao. Wana vyuo anawapangia mikopo myepesi na riba ndogo yaani ana wahonga. Huyu jamaa anampango wa kumtoa Biden kama makamu ambadilishe na hilary wanawake wote watarudi kwake kwa ajili mpango ni bi clinton agombee urais 2016. Sasa hesabu wafanya kazi wa viwanda vilivyo saidiwa kuto filisika. Hesabu wenye mortgage wanao saidiwa nyumba zao zisi uzwe na benki. Mpango wa obamacare ndio usiseme walala hoi wangapi amewanunua. Kuna uwezekano mkubwa sana huyu jamaa kurudi sabab anatumia mbinu za viongozi wa afrika kubaki madarakani. Wazungu watakoma. Mda wowote Romney atapatikana na kashfa kubwa kwamba kampuni zake za siri zina hisa kwenye nchi adui wa marekani hasa iran, atachoka mwenyewe. Nani kawaambia mwafrika anafaa.
 
Newsweek/The Beast ni conservative news outlets, na haota wasomani na hayo maoni ni ya watu wa mlengo wa kulia pia. Huwa najiuliza hivi Ronald Reagan aliifanyia nini cha maana USA? Kuivamia Grenada?
 
Wanaomuona Obama kama rais mbaya ndiyo wabaya. Mara hii tumesahau alivyoinyofoa Marekani kwenye uchafu wa Bush! Kweli wanadamu hawana wema. Obama tenda wema uondoke. Iisitoshe bado u kijana wakikutema unaenda kufundisha sheria chuo kikuu maana wewe si kihiyo kama wale madaktari wa kupewa. Republican wanapaswa waambiwe kuwa kama si wao na Bush Marekani isingegeuka kopakopa kwa China.
 
ramezani20120705175832060.jpg
U.S. President Barack Obama
In a poll conducted by Newsweek/The Beast, likely voters said Barack Obama is the second worst president in American history, coming in behind Richard Nixon and Jimmy Carter. George W. Bush came in last place, the Weekly Standard reported Tuesday.

Likely voters were asked to list the two best and the two worst presidents in American history.

Abraham Lincoln came in first place, while Ronald Reagan placed second.

Franklin D. Roosevelt came in third, followed by John F. Kennedy and George Washington, who tied with Bill Clinton for fifth place.

Thomas Jefferson, Teddy Roosevelt, Harry S. Truman and Dwight D. Eisenhower finished the list of the top ten.

The ten worst presidents included Andrew Johnson, who was impeached in 1868 when he breached the Tenure of Office Act by removing Secretary of War Edwin Stanton from the cabinet. Johnson became President after Lincoln was assassinated.

Warren G. Harding, Calvin Coolidge, Lyndon B. Johnson, Gerald Ford and Herbert Hoover also fell in the list of the ten worst presidents.

George H.W. Bush, father of George W. Bush, came in at number 39, followed by Jimmy Carter and Richard Nixon.

Barack Obama was listed as the 42nd worst President, beating only George W. Bush, who came in last place.

Jeffrey H. Anderson noted that "there are only 43 (rather than 44) presidents because Grover Cleveland (who tied for 25th) was both our 22nd and 24th president." The Examiner.
source: PressTV - Poll: Obama 2nd worst US president


hii ni article ya 2009 lakini inahusu pia uchaguzi ujao

Debbie Menon – Can Obama escape the dominating influence of AIPAC and the American Jewish/Zionist Israeli lobby? | Sabbah Report
 
Safi sana I don't like Obama!

Obama alivyoanza kuomba birthday gift za watu au wedding eti to donate campaigh yake .nilishangazwa na I lost respect for him .it is all about himself me me me
 
Obama kwa kweli anapewa a smear cmpaign. Na tatizo la wazungu ni hilo maana ni mwafrika. Akifanya jambo jema anapata sifa chungu zima. Akitenda ovyo mpaka historia yake inakuwa traced kuwa babake ni mkenya na alitoka kenya (yaani ni mwafrika). Kuna mambo mengi mbovu zilzofanywa na uongozi wa Bush Obama amejaribu kurekebisha. lakini tuzingatie tuone mpaka kwenye primaries
You are a racist
 
Sio Mkikuyu ni Mjaluo......Odinga , Obama, Ominde, Obuya Ogoya etc etc.
 
Hello Colleagues...

I know I am gonna hurt the feelings of some people.. whether you like to swallow this bitter pill or not... frankly speaking Obama is going to WIN... take it from me....
Raise security of the Electronic Voting Machines otherwise Al gore get over system will be applied!
 
namkubali bush kinoma,kiboko ya saddam aliyekuwa kiboko ya watu wake wanao mpinga
 
Back
Top Bottom