Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,165
maskini mkukuyu wa watu!
Nani alikudanganya kuwa ni Mkikuyu?
Acha kukariri wewe! Ile ni Jaluo bana au umesahau kwamba tulianza kumgombania kwamba bibi yake alitoka Tanzania? Hata hivyo potelea mbali hata kama atashindwa jamaa keshaandika historia ya kuwa Mmarekani wa kwanza mwenye asili ya Afrika kukaa Magogoni ya USA aliyemwangusha Mwamerika mzungu.