ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,156
- 3,792
Mandela nasikia wazungu walimnyongonyesha kwa kumuonesha gerezani kila aliyekuwa nae bega kwa bega kuwa amewafuata wazungu walimfanyia hivyo mpaka anatoka alikuwa anaona hakuna mtu wa kuitetea afrika ,
alipopata madaraka akaamua kuwashirikisha hao hao wazungu bila kinyongo.
gadafi alitumia sehemu ya utajiru wake kuikomboa afrika(alijaribu lkn hakuweza)
alipopata madaraka akaamua kuwashirikisha hao hao wazungu bila kinyongo.
gadafi alitumia sehemu ya utajiru wake kuikomboa afrika(alijaribu lkn hakuweza)