Poll: Muammar Gaddafi Vs Nelson Mandela? Nani Shujaa/mwamba Wa Afrika?

Muammar Gaddafi vs Nelson Mandela? Nani shujaa/mwamba wa Afrika?


  • Total voters
    237

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Kwa uonavyo wewe kati ya colonel Muammar Gaddafi au Nelson Mandela (Tata Madiba) nani shujaa/mwamba wa Afrika?

download.jpg


Ninaomba tusimuongelee mwalimu Nyerere kwa maana yeye nafasi yake kwa Afrika haina mpinzani.
 
Ghadafi alikuwa anti imperialist na marafiki zake wakubwa walikuwa Fidel Castro, Chavez,morales na ndio maana Omar all bashir anamchukia sana gadaffi hata kifo cha Gadafi ,Al bashir alifurahi sababu gadaffi alikuwa ana destabilize Sudan kwa kuwafadhili akina Garang akidai Bashir ni imperialist japo alikuwa na motive zingine kuona Sudan ingekuwa super power.Mpaka s.Sudan inapata Uhuru ni kwasababu ya kazi kubwa ya Gadaffi

Ishu ya Uganda Gaddafi aliona Tanzania ni imperialist ina occupy sehemu isiyo yake japo alikengueka na kuomba msamaha baadae

Ila ukizungumzia liberation Gaddafi katoa pesa nyingi kumsaidia Mandela na marafiki zake wa karibu mno walikuwa Chavez, Castro anti imperialist wenzake wenye muono sawa na pindi Mkutano was UN ukifanyika Gaddafi alikuwa anaenda pamoja na Chavez NY .na Chavez kwenye moja ya hutuba zake alikuwa ana mchambua Gaddafi na liberation na mipango yao ya kuunganisha afrika kama ilivyo s.America

Wote ni mashujaa wa Africa ,
Gaddafi kapigania South ,kapigania Uhuru wa s.Sudan nk .

Mandela kakaa sana jela japo ni inspirational ila gadaffi ,samora ,nyerere walipigania ya wa Africa wote





3ef6133357177cedae31aedb8aec4b66.jpg
 
Back
Top Bottom