Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Nimeshtushwa na taarifa kuwa wakala CDM hajulikani alipo tangu uchaguzi uishe, Polisi hawana taarifa japo wamekiri kuwakamata vijana wa CDM na kuwahamishia magereza tofauti bila kuwapa taarifa ndg zao! Je uchaguzi umegeuka utekaji na uuaji wa watu? Je CDM nini mtafanya dhidi ya vijana walioko magerezani? CCM msitupeleke huko tafadhali!
Source: WAPO RADIO
Source: WAPO RADIO