Naweka 800900 itapendeza zaidi
700 haitadhuru
Kila binadamu ana haki ya kufanya anacho weza kufanya
Usimung'unye maneno, Kanumba alikuwa ni mbakaji tu niliamini hivyo na ndio msimamo wangu mpaka kesho.Mara imetokea Paap Dr. Shika kapewa bonge shavu, mtaona jinsi ndugu zake wanavyoibuka na kujifanya kumjali. Kuna watu watafungashia Senene na sato na kumletea toka huko kanda ya ziwa.
Watanzania wanafiki sama. Ndiyo walijitokeza kwa wingi kumzika yule mbakaji pale kinondoni makaburini huku wakiongozwa na rais na baraza lake la mawaziri, na serikali mzima huku kale kabint kalikokua kakibakwa kakiwa ndani nyuma ya ndindo za mahabusu
Ndugu watajitokeza akipata shavu kama Jamaa wa makande,na ndoa ya shs 2000 Kenya, ingekuwa Kenya brand mbalimbali zingekuwa zinamgombea yeye anacheza na day tu,Mungu awezampangia atoke Kwa njia hii.Ngoja amalizane na mambo ya polisi atatoboa tu.Unaweza ukacheka sana lakini kwa upande mwingine inasikitisha sana, inakuwaje mtu anaishi bila ndugu wala jamaa, atakuwa na maisha magumu sana huyu jamaa... So sad
Na natumaini wamejifunza haswaaa. Maana si kwa vigelegele vile na mpepeoWamwachie tu iwe fundisho kwa hao wapiga mnada.
Kwa hawa waandishi wetu - wala hawahitaji kuhamasishwa. Wakamuweka na front page kabisaaaAkitoka wandishi wamnyake atuambie alimaanisha nini
hata mm, yani uwa sina tabia ya kufungua link kusoma habari lakini ikiwekwa link yenye habari ya huyu dr shika kwanza nafurahi alafu naifungua na kuisoma huku nachekahahaha kila nikiona habari ya huyu bilionea Louis nafurahi sana