Bashite kakandwe madole maana safari hii utakimbia jijiHizi theatrics za chadema hazitazaa matunda.
Bashite kakandwe madole maana safari hii utakimbia jijiHizi theatrics za chadema hazitazaa matunda.
TBC : " ITV matatani baada ya mkurugenzi wa uchaguzi NEC kuhoji taarifa zilizorushwa na ITV za sanduku la kura kuporwa mtaa wa Idrissa kitongoji cha Magomeni jimbo la Kinondoni Dar-es-Salaam bila kupata idhidi ya NEC/TUME au msimamizi wa kituo husika"
Kamzalishe mkeo acha kubwa wala karomije weweChadema ilijengwa na Mbowe + Slaa, Mnyika, Zitto, Lissu na inabomolewa na Mbowe + Lowassa, Msigwa, Lema, Mashinji!!
Kwi! Kwi! Kwi! Jeshi letu ni la viwango vya juu sana !
Hili nililitarajia maana wamepanga kufanya wizi wa kura wa ajabu, hivyo hawataki matangazo yoyote ya mambo haya. Leo kuna kituoa huwa kinatangaza uchaguzi unapofanyika hapa nchi lakini wako kimya tu. Ninahakika wameambiwa wasithubutu kurusha haya matangazo.
Wanamaanisha kujipeleka kwake kukamatwa /kufanya kuanyiko lisilo halali hivyo ameyata mwenyeweKwenye gari la Polisi alipanda mwenyewe hawa watu wanatia hasira sana.
Hivi wanajimu humu si walituambia upi nzani utakufa kwa sababu awamu hii inachapa kazi hawana agenda?? Risasi za nini sasa?
Polisi hawahoji kama mchungaji.Mbona kama wanamuhoji tena kwa force
Sasa wafanyeje?Aiseee,
Kwahiyo na wao wakamkamata sio,
Shithole countries
Polisi hajawahi pendwa dunia nzima.Sijawahi kuwaamini hawa siyo kwa kuwachukia tu bali kwa kukosekana weledi namna wanavyofanya mambo yao ya kipolisi
Du hii kalii aiseeKamanda wa Polisi wilaya ya Kinondoni, Jumanne Muliro amesema mgombea ubunge wa CHADEMA jimbo la Kinondoni, Salum Mwalimu hakukamatwa na Polisi, bali alijipeleka mwenyewe ili akamatwe wakati si mtuhumiwa.
Akizungumza na MCL Digital leo Frebuari 17, 2018, Kamanda Muliro amesema mgombea huyo alijipeleka mwenyewe kwenye gari la Polisi wakati si mtuhumiwa, akiamini kuwa kitendo hicho kitawafanya waandishi wa habari kumpiga picha ili ionekane kuwa amekamatwa.
"Hizi ni hadithi za abunuwasi. Haya mambo ya kufikirika hayatakiwi kabisa. Yeye ameshapiga kura akae asubiri matokeo", amasema Muliro.
"Amelazimisha kuchukuliwa na kuingia kwenye gari wakati si mtuhumiwa".
Timu ya waandishi wa habari ilishuhudia leo saa 6 mchana, Mwalimu akiondoka na Polisi katika Defender na kupelekwa katika kituo cha Magomeni ambapo alikaa kwa takribani robo saa na kuachiwa.
Mwalimu alifika katika kituo hicho baada ya kusikia taarifa za baadhi ya wananchi wa kata hiyo wakidai kuwa kuna mtu ameondoka na sanduku lenye kura, baadaye kukamatwa na Polisi akiwa na sanduku hilo.
Chanzo: Mwananchi
Ukijitakia kupelekwa lazima upelekwe alafu anayemhoji ni mwanamamaPolisi wanaruhusiwa kumbeba mtu ambaye sio mtuhumumiwa na kumpeleka polisi?
angekuwa na siraha wangesema salum alitaka kuteka gari ya police