jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,292
Wangempa maji ya kunywa au wewe unaonajeSasa wafanyeje?
Wangempa maji ya kunywa au wewe unaonajeSasa wafanyeje?
Haa haa.. Kwani huoni wakienda kuchoma mashamba ya bangi ule mvuke wake inakuwajeHuenda bangi inayokamatwa na maasikari huwa wanaiweka stoo kwa matumizi yao,maana kuna mambo mengine hata wao wanaona aibu kuyazungumza mbele za watu
Box liliingia lenyewe ndani ya gari.Na lile box la kura lililochukuliwa na kurudishwa watakuja kudai kuwa lile ni box la Sabuni.
Kamanda wa Polisi wilaya ya Kinondoni, Jumanne Muliro amesema mgombea ubunge wa CHADEMA jimbo la Kinondoni, Salum Mwalimu hakukamatwa na Polisi, bali alijipeleka mwenyewe ili akamatwe wakati si mtuhumiwa.
Akizungumza na MCL Digital leo Frebuari 17, 2018, Kamanda Muliro amesema mgombea huyo alijipeleka mwenyewe kwenye gari la Polisi wakati si mtuhumiwa, akiamini kuwa kitendo hicho kitawafanya waandishi wa habari kumpiga picha ili ionekane kuwa amekamatwa.
"Hizi ni hadithi za abunuwasi. Haya mambo ya kufikirika hayatakiwi kabisa. Yeye ameshapiga kura akae asubiri matokeo", amasema Muliro.
"Amelazimisha kuchukuliwa na kuingia kwenye gari wakati si mtuhumiwa".
Timu ya waandishi wa habari ilishuhudia leo saa 6 mchana, Mwalimu akiondoka na Polisi katika Defender na kupelekwa katika kituo cha Magomeni ambapo alikaa kwa takribani robo saa na kuachiwa.
Mwalimu alifika katika kituo hicho baada ya kusikia taarifa za baadhi ya wananchi wa kata hiyo wakidai kuwa kuna mtu ameondoka na sanduku lenye kura, baadaye kukamatwa na Polisi akiwa na sanduku hilo.
Chanzo: Mwananchi[/QUOTE
Hayo maneno yamesemwa na kamanda "Zero"?
Kwa matusi mko vizuri!Ndio polisi wa shithole country