Polisi wetu wawe na Kauli nzuri kazini

mende 2014

JF-Expert Member
Apr 13, 2014
763
131
polisi wetu hawana mapokezi mazuri kwa raia.
Leo nilikuwa kituo cha polisi nikamsikia polisi mmoja wa kike mwenye namba WP 6010 akimjibu vibaya raia aliyeenda kutoa taarifa kuhusu jambo alikokuwa nalo hata kufikia hatua ya kumwambia kuwa yeye hajamwajiri.
Kitendo hicho kilinisikitisha sana na kuonyesha kwamba sisi raia hatuna haki Kabisa.
Polisi hawa wajirekebishe waache kauli mbeya kwa raia.
 
Mbona kamjibu vizuri tu, ushawahi enda maabusu ukayasikia kutoka midomoni mwao???
 
polisi wetu hawana mapokezi mazuri kwa raia.
Leo nilikuwa kituo cha polisi nikamsikia polisi mmoja wa kike mwenye namba WP 6010 akimjibu vibaya raia aliyeenda kutoa taarifa kuhusu jambo alikokuwa nalo hata kufikia hatua ya kumwambia kuwa yeye hajamwajiri.
Kitendo hicho kilinisikitisha sana na kuonyesha kwamba sisi raia hatuna haki Kabisa.
Polisi hawa wajirekebishe waache kauli mbeya kwa raia.
Kituo gani?
 
Hayo ni majungu....hivi lini watanzania tutaacha majungu dhidi ya ma Afisa wetu Wa police wanaotulinda....ila sishangai maana mi Africa hasa mi Tanzania ndivyo ilivyo jitu jenyewe kuandka haujui.
 
Police wa TZ hawana uweledi wa kisheria na huduma kwa wateja kila kitu wanatumia nguvu au kukutishia na silaha.
 
Hayo ni majungu....hivi lini watanzania tutaacha majungu dhidi ya ma Afisa wetu Wa police wanaotulinda....ila sishangai maana mi Africa hasa mi Tanzania ndivyo ilivyo jitu jenyewe kuandka haujui.

Mi TANZANIA, bilashaka we sio RAIA mwenzetu maybe mnyarwanda, kwa kauli yako tu inaonesha ivyo
 
Police wa TZ hawana uweledi wa kisheria na huduma kwa wateja kila kitu wanatumia nguvu au kukutishia na silaha.
Acha kuongea kwa hisia wewe. Polisi wanahudumia vichaa, walevi, majambazi, wezi, wasomi, wajinga nk.
 
polisi wetu hawana mapokezi mazuri kwa raia.
Leo nilikuwa kituo cha polisi nikamsikia polisi mmoja wa kike mwenye namba WP 6010 akimjibu vibaya raia aliyeenda kutoa taarifa kuhusu jambo alikokuwa nalo hata kufikia hatua ya kumwambia kuwa yeye hajamwajiri.
Kitendo hicho kilinisikitisha sana na kuonyesha kwamba sisi raia hatuna haki Kabisa.
Polisi hawa wajirekebishe waache kauli mbeya kwa raia.
Mkuu,
Hapo umeelezea upande mmoja wa tatizo. Huyo Raia alienda kuripoti nini!? Mara nyingi Polisi huwa wanakupokea na kuku treat kutokana na issue iliyokupeleka hapo kituoni. Unaweza kukuta Huyo Raia pia hakuwa na kauli au maelezo yaliyonyooka kwa Polisi.
 
Kuna baadhi ya raia wanakuwa na lugha mbaya hivyo kumbuka nao ni binadamu
Wewe utakuwa ni polisi tu,haiwezkani utetee hili!hivi kwa raia wa kawaida anaanzaje kuleta lugha mbaya?!mi mwenyewe muhanga wa hili suala la lugha mbaya kwa polisi vituoni halafu walivokuwa wajinga wanafkiri kila anaeenda kituo cha polisi kutaka huduma wanafkiri ni raia wa kawaida tu kumbe wengine wanaenda kuwachora tu!
 
Back
Top Bottom