Polisi wazuia mikutano ya Mbowe katika jimbo lake kutokana na ziara za DC Sabaya

Mbowe hana cha kuwaambia wananchi zaidi ya kuwapotezea muda na kujilipa ruzuku ya chama
 
Kama tungekuwa tunatafuta mantiki ya tuwe au tusiwe na wakuu wa wilaya basi kesi study ni huyo mkuu wa wilaya ya hai nadhani ni kwa sabubu kapewa cheo akili ikiwa bado kabisa haijakomaa ana mambo fulani ya kustaajabisha kidogo.Nilimsikiliza kwenya mahojiano yake na Alois Nyanda kwenye ajenda 2020 niliona ni kama mhuni fulani hivi kapewa chewa akiwa hajajiandaa ana jibu ovyo ovyo maswali bila kujali hadhi ya kiti anachokalia.Niliwaza nikajiuliza ivi ndio ukuu wa wilaya wa enzi zile waliokuwa wanapata watu wenye weledi na heshima kidogo au ni mwingine
 
IGP hana habari.. Anasubiri barua.. Pia mwenyekiti wa vyama vya siasa hana habari ana subiri barua.. Hii ndio nchi yetu
 
IGP hana habari.. Anasubiri barua.. Pia mwenyekiti wa vyama vya siasa hana habari ana subiri barua.. Hii ndio nchi yetu
 
Mfumo ndy una matatizo maana haiwezekani kiongozi aliyechaguliwa na wananchi anazuiwa kuongea na waliomchagua wakati Bunge linatarajiwa kuanza mwezi wa tisa
KATIBA mpya bado inahitajika
 
Yaani hawa jamaa huwa na reasons za kipuuzi sana.. Kwani kupanga huyu awe huku na huyu awe huku kuna shida gani? Kwani haijulikani huyo mpenda hongo atakuwa ana kagua wapi kama ni kweli? Ati vitendea kazi, uki pita hapo Boma kila baada ya hatua mbili kuna trafiki barabarani ila polisi utaambiwa hakuna wa kulinda mkutano wa Mbunge. Mtaibeba Ccm hadi lini ni nyie polisi?
Sasa Mbowe kapatwa na msiba mwambieni huyo mla rushwa amalize ziara. Mbowe akitoka msibani ana anza kuliwasha
 
Back
Top Bottom