Hamna ziara yoyote anayoifanya DC wilayani HAI labda aanze baada ya MBOWE kusema anaenda kufanya mikutano jimboniHilo tulilijua haya DC nenda kahutubie wewe
Nitawashangaa wana Hai na Mbowe wao wakiufyata...huu ujinga CHADEMA Ssasa mnakuwa kenge. Mambo ya amani na upuuzi mwingine peleka hukooooWe can easily forgive a child who is afraid of the dark; the real tragedy of life is when men are afraid of the light
Conflict of interest! Wanaozuia wana mapenzi na chama tawala, kamwa hawawezi kuwa fair.Hali ishakuwa tete , maajabu Mbunge aliyechaguliwa kidemokrasia na wananchi kuzuiwa kufanya mkutano na wananchi waliomchagua ,
Mkuu wa wilaya ni nani mpaka azuie mbunge kusikiliza wananchi , this is so terrible
We Jamaa una akili kweli?safi kabisa tatizo huyu anafujo akiruhusiwa ataleta vurugu na mauaji safi sana
Na usishangae MBOWE akifanikiwa kufanya mkutano Sabaya akavuliwa u-DC kwa kushindwa kumdhibiti MboweConflict of interest! Wanaozuia wana mapenzi na chama tawala, kamwa hawawezi kuwa fair.
ninazo tena nyingi sana huyo hana kesi ya kuleta vurgu inaendelea mbona mnakuwa na ushabiki wa kijinga hakuna mkutano wowote kwa anayeonekana anhatarisha usalama wa raia wemaWe Jamaa una akili kweli?