Challenger
Member
- Sep 5, 2007
- 53
- 21
Jamani sisi wengine ni majirani na hapo Nyololo ambapo limetokea tukio la kusikitisha - kuua mtanzania - mlipakodi wa nchi hii - hakuna kambiya jeshi pale kwamba kuna bomu labda liliangushwa au kupotea - hakuna vita vya ndani kana kwamba kuna mabomu ya kutegwa yaliwekwa.
Polisi ndio walikuja na mabomu - jibu liko wazi. Tume ya nini jibu liko wazi - waliokuja na mabomu ni polisi na Marehemu Mwangosi ameaua na kitu kinachosadikiwa ni bomu.
Hasira inanipanda zaidi inaposikia haoa hao tena wameunda tume - sasa ya kumchunguza nani??. Aliyewaleta polisi pale au......???
Polisi ndio walikuja na mabomu - jibu liko wazi. Tume ya nini jibu liko wazi - waliokuja na mabomu ni polisi na Marehemu Mwangosi ameaua na kitu kinachosadikiwa ni bomu.
Hasira inanipanda zaidi inaposikia haoa hao tena wameunda tume - sasa ya kumchunguza nani??. Aliyewaleta polisi pale au......???