engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Kama kawaida, vyombo vya dola vikiongozwa na polisi huko Geita vimeripotiwa kumuua mtu mmoja na kuwajarehi wengine kwa risasi za moto wakati raia hao wa kata moja ya Geita kuandamana kwa amani wakishinikiza diwani wao ajiuzuru baada ya diwani wao huyo kushiriki katika baraza la madiwani kumwondoa kiongozi aliyesadikiwa kutetea maslahi ya wananchi. Wananchi wanauliza, sisi ndio tuliomchagua diwani wetu na tuna haki ya kumwondoa tumepigwa na polisi kwa nini?
Source; ITV saa 8 usiku
watanzania tuunganishe nguvu lakini tukiendelea kutengana ooh, arusha ni wahuni haya leo geita, juzi ili kuwa tabora na nyamongo tukawaita majambazi lakini tulikuwa tayalikutoa zaidi ya mil 3 kwa kila jambazi iliziwasaidi kwenye mazishi sijui huruma hii imeanza lini..je kesho wataua wapi wasingizia nini..?