Kijana mwenzetu Amani Msimbe mfanyabiashara wa matunda soko kuu la Tabora, ameuwa na POLICE wakituo kikuu baada ya kumpa mateso makali Mithili ya jambazi sugu.
MSIMBE ambae alikamatwa tarehe 24 baada ya kumpiga mdeni wake , rafiki zake Wanasema Wakati anakamatwa aliwasumbua police kwavile alikuwa amelewa pengine ndio kisa cha Police hao kumshushia kipigo na mateso makali walipomfikisha central.
Chaajabu walipoona haliyake mbaya wakampigia mkewe simu aje amdhamini wakati mwanzo walisha mnyima dhamana. Alipofikishwa hospital hakuchukua muda akafariki, Jambo lililopelekea vurugu kubwa, baada ya wafanyabiashara wenzie wa sokoni kugoma mwili usitolewe wodini mpaka aje mkuu wa mkoa.
Baadhi ya viongozi walifika na kuokoa jahazi na kushusha jazba za vijana ss mwili uko chumba cha kuhifadhia maiti. Huku uvumi ukiwa umezagaa eti Police wameandika aligongwa na gari.
MSIMBE ambae alikamatwa tarehe 24 baada ya kumpiga mdeni wake , rafiki zake Wanasema Wakati anakamatwa aliwasumbua police kwavile alikuwa amelewa pengine ndio kisa cha Police hao kumshushia kipigo na mateso makali walipomfikisha central.
Chaajabu walipoona haliyake mbaya wakampigia mkewe simu aje amdhamini wakati mwanzo walisha mnyima dhamana. Alipofikishwa hospital hakuchukua muda akafariki, Jambo lililopelekea vurugu kubwa, baada ya wafanyabiashara wenzie wa sokoni kugoma mwili usitolewe wodini mpaka aje mkuu wa mkoa.
Baadhi ya viongozi walifika na kuokoa jahazi na kushusha jazba za vijana ss mwili uko chumba cha kuhifadhia maiti. Huku uvumi ukiwa umezagaa eti Police wameandika aligongwa na gari.