Kama kawaida yao nguvu nyingi akili kidogo.
Polisi wilayani Kaliua mkoani Tabora wamempiga risasi na kumuua raia mmoja aliekua miongoni mwa kundi la wananchi waliokua wanakabiliana na polisi hao.
Wananchi walikua wanawataka kuwaadhibu wezi wa mifugo waliokua mikononi mwa polisi.
Note-kama unajipenda kaa mbali na polisi ukirusha mchanga wanarusha risasi.
Ama kweli hii nchi ujinga unaongezeka