Polisi waua raia Tarime wananchi wakinukisha.

Polisi waua raia Tarime wananchi wakinukisha.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,852
Nimepata taarifa kuwa polisi wameua kijana mmoja wa sirari anayeitwa Tandika Ryoba Moserega inasemekana walimkamata kijana akiwa hai wakamrudisha akiwa amefariki wananchi wamechachamaa wanachoma matairi.
cc, chaminglady
 
Last edited by a moderator:
Wapuuzi badala ya kujua kafa kwa kitu gani wanachoma mataili pengine alikuwa jambazi sugu polisi wameambua kumtungua.
 
wananchi siyo wajinga kama marehemu angekuwa na sifa mbaya ambazo jamii haizikubali wasinge react baada ya kuletwa kafa

so my take
vyombo vya ulinzi ajirini watu welevu kwani baadhi ya askali wanatumia vibaya mamlaka yao matokeo yake tunailaumu serikali kumbe ni makosa ya mtu binafsi ama kwa ujinga wake au maslahi yake .
 
Nimepata taarifa kuwa polisi wameua kijana mmoja wa sirari anayeitwa Tandika Ryoba Moserega inasemekana walimkamata kijana akiwa hai wakamrudisha akiwa amefariki wananchi wamechachamaa wanachoma matairi.
cc, chaminglady

Duuhh!!
R.i.p my homeboy!!
 
Last edited by a moderator:
Acha waandamane tu halafu wadunguliwe risasi kesho wakazikane.
Pumbavu sana hao raia.
Kwani mtuhumiwa hawezi kufia mikononi mwa polisi..?
Watu wanafia vifuani mwa wanawake mbona hamuandamani..?
Manina zao sana waandamanaji.!
 
ni kweli kabisa,nimepita Sirari mida ya saa 6 mchana nikitokea Kehancha -Kenya kulikua na vurugu,wananchi walikuwa wamefunga bara bara kwa mawe na kuchoma moto matairi,polisi walikuwa wakiwatawanya wananchi kwa mabomu ya machozi maeneo mbali mbali pia polisi wamewakamata baadhi ya vijana waliokuwa wakiwarushia mawe polisi.
 
Molembe hebu fuatilia kwa karibu hili utujuze ilivyokuwaml mpaka haya yakatokea!
 
Last edited by a moderator:
Acha wachome hata vituo vyote vya polisi
Hawa jamaa toka pinda kawadanganya wanauwa kweli raia siku yao inakaribia
 
Hawapa polisi wetu wamezoe kuua raia wakiwa mikononi mwao mikonoyao inavuja damu wanaharamu hawa ilaiposiku tu.....................!!!
 
ni kweli kabisa,nimepita Sirari mida ya saa 6 mchana nikitokea Kehancha -Kenya kulikua na vurugu,wananchi walikuwa wamefunga bara bara kwa mawe na kuchoma moto matairi,polisi walikuwa wakiwatawanya wananchi kwa mabomu ya machozi maeneo mbali mbali pia polisi wamewakamata baadhi ya vijana waliokuwa wakiwarushia mawe polisi.

Acha waandamane tu halafu wadunguliwe risasi kesho wakazikane.
Pumbavu sana hao raia.
Kwani mtuhumiwa hawezi kufia mikononi mwa polisi..?
Watu wanafia vifuani mwa wanawake mbona hamuandamani..?
Manina zao sana waandamanaji.!

calm down mkuu watasema umekunywa viroba si unajua weekend hii
 
Back
Top Bottom