YOhani ndo akili yako ilipofikia kweli?Safi sana
Wafadhili wajue nchi yetu ina Amani na Demokrasia iliyotukuka 🐼
Achana na akili ya kuwa tegemezi kwa wafadhiri! Ndio maana ujinga wenu mnauza nchi kwa waarabu!!Safi sana
Wafadhili wajue nchi yetu ina Amani na Demokrasia iliyotukuka 🐼
Huwa sielewi motive inayokuja baada ya maandamano.
Yaani unazunguuuka mitaani unapiga keleleee huku umebeba bango halafu unamaliza unarudi nyumbani kwako kulala.
Ni kama mtu apite mitaani awe anasema sina helaaa sina helaaa halafu arudi nyumbani kwake akalale bila kufanya juhudi ya kuitafuta hela.(kama nitamkwaza mtu samahani)
Siasa na mpira ni vitu vya kijinga sana. Mtu unakaa unaangalia watu wanakimbiza kitufe muda woote na kitufe kikiingia golini upande mtu anaoushangilia eti anakosa amani, unakuta mwingine mpaka anakufa. Yaani kitufe kupita katikati ya Milingoti miwili wewe unaathirika emotionally are you SIIIIIIRIIIIIAZ
Polisi wanaandamana sababu ya Kikokotoo.Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
View attachment 2971709
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa na mkoa wa Kagera wakiongozwa na askari polisi katika maandamano ya amani katika Kata ya Kashai, Hamgembe, Bilele Rwamishenye, Manispaa ya Bukoba.
Ni aibu hata kama ulikua unalipwa bukubuku kwa mwez🤣Wakistaafu wanapewa 18m
Matembezi ya mshikamano yakiongozwa na jeshi makini na imara la polisiPolisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
View attachment 2971709
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa na mkoa wa Kagera wakiongozwa na askari polisi katika maandamano ya amani katika Kata ya Kashai, Hamgembe, Bilele Rwamishenye, Manispaa ya Bukoba.
Safi sana
Wafadhili wajue nchi yetu ina Amani na Demokrasia iliyotukuka 🐼
Kwa maana hiyo Samia apewe sifa zake kwa kukuza demokrasiaSafi sana
Wafadhili wajue nchi yetu ina Amani na Demokrasia iliyotukuka 🐼
Kaka acha basiiiii 😂😂🤣🤣🤣Huwa sielewi motive inayokuja baada ya maandamano.
Yaani unazunguuuka mitaani unapiga keleleee huku umebeba bango halafu unamaliza unarudi nyumbani kwako kulala.
Ni kama mtu apite mitaani awe anasema sina helaaa sina helaaa halafu arudi nyumbani kwake akalale bila kufanya juhudi ya kuitafuta hela.(kama nitamkwaza mtu samahani)
Siasa na mpira ni vitu vya kijinga sana. Mtu unakaa unaangalia watu wanakimbiza kitufe muda woote na kitufe kikiingia golini upande mtu anaoushangilia eti anakosa amani, unakuta mwingine mpaka anakufa. Yaani kitufe kupita katikati ya Milingoti miwili wewe unaathirika emotionally are you SIIIIIIRIIIIIAZ
Do not be short-sighted, demokrasia haikuzwi kwa one aspect of maandamano...........naishia hapoKwa maana hiyo Samia apewe sifa zake kwa kukuza demokrasia