Polisi watanda kwa Mo Dewji

Polisi watanda kwa Mo Dewji

Polisi wapo kisheria tu na wala hiyo haiwafanyi kuaminika. Wasijipe kazi inayohitaji kuaminika wakati hawaaminiki. Wanaua soo kwamba ni walinzi kumbe wabaishaji tu.
 
Polisi wapo kisheria tu na wala hiyo haiwafanyi kuaminika. Wasijipe kazi inayohitaji kuaminika wakati hawaaminiki. Wanaua soo kwamba ni walinzi kumbe wabaishaji tu.
ndo hivyo, maisha ya jamaa ndo yameshabadilika jumla hivyo. Mwenyewe alikuwa yuko happy kuwa huru, na kwenda anakotaka bila uringi.

Issue yoyote ikishahusisha polisi tena hawa wa bongo ni full noma. Hapo wenyewe wameshajipatia kamchongo kao.
 
Angeomba mwenyewe hapo sawaa...!! lakini anajua wahusika ndo maana hataki huo msaada ni wakinafikiii
 
Unapigwa ngumi ya jino halafu unaulizwa unajisikiaje
 
Baada ya sakata la kutekwa kwa mfanyabishara maarufu nchini, Mohammed Dewji Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemuongezea ulinzi mfanyabiashara huyo
View attachment 910312
Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa katika mahojiano yake na www.eatv.tv amesema kuwa wamemwongezea ulinzi mfanyabiashara huyo katika kipindi hiki ambacho bado wanaendelea na uchunguzi kuhusiana na tukio.

"Katika kipindi hiki ambacho bado tunaendelea na uchunguzi wa tukio la kutekwa kwake, tumemuongezea ulinzi", amesema Mambosasa.

Mo Dewji alitekwa Alfajiri ya Oktoba 11, katika hoteli ya Colosseum iliyopo Osterbay jijini Dar es salaam na kupatikana baada ya siku tisa katika maeneo ya Gymkhana alikotelekezwa na watekaji, huku pia wakitelekeza gari aina ya Toyota Surf walilolitumia likiwa na silaha kadhaa za moto.

Wanamlinda hadi pale atakapomaliza ' Kukariri ' maneno wanayompangia Kuyaongea katika ' Press Conference ' yake ya hivi karibuni na akimaliza watamwacha Huru ili aendelee na ' mishemishe ' zake na wakiona ' amekengeuka ' katika Makubaliano basi ' atatekwa ' tena na huenda safari hii ' akatekwa ' na Wachina wawili badala ya Wazungu na Gari haitotumika tena ya Surf bali huenda sasa ikatumika Gari aina ya Subaru.
 
Back
Top Bottom