Lissu amemaliza kuhutubia mkutano wa hadhara wa Mbinga leo akasema ashuke akachangiwe Hela na wananchi, wakati anashuka akakutana na OCD pale jukwaani akaambiwa anahitajika ofisi ya OCD
Sasa hivi, LISSU akarudi jukwaani akasema yameanza, basi akasema sitokwenda kwa OCD nimechoka sana.
Sasa ameshuka umma unamfuata na polisi pia wapo.
Mitambo imekata hatujui huenda wakatumia nguvu kumkamata hapo Mbinga maana katoa hotuba nzito sana.
Polisi sasa wamepiga mabomu na wanataka kumkamata Lissu.
Pia soma > Pre GE2025 - Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Sasa hivi, LISSU akarudi jukwaani akasema yameanza, basi akasema sitokwenda kwa OCD nimechoka sana.
Sasa ameshuka umma unamfuata na polisi pia wapo.
Mitambo imekata hatujui huenda wakatumia nguvu kumkamata hapo Mbinga maana katoa hotuba nzito sana.
Polisi sasa wamepiga mabomu na wanataka kumkamata Lissu.
Pia soma > Pre GE2025 - Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma