Polisi wanaratibu usafirishaji haramu wa binadamu

RUBERTS

Senior Member
Apr 5, 2012
136
50
Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.

Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.

Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.

Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.

Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.

Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
 
Hii nchi kuna mambo ya ajabu sana.Viongozi wetu ndo wasaliti wa kwanza.Mungu tunusuru.
 
Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.

Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.

Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.

Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.

Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.

Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.

Mwaga mwaga zaidi, usisubiri wakakulimboka hawa watu. Weka ushahidi wote ambao unao mapema.
 
Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.

Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.

Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.

Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.

Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana.
Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.

Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
hapo kwenye hihlight, unamaanisha serikali gani kwani hao polisi unaowatuhumu ni sehemu ya serikali hiyo
 
Mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi vilevile!!
Hatuwezi kusongambele na haya magamba!!
 
Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.

Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji am

bapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.

Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.

Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.

Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.

Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.

Tafadhali kama kweli unao ushahidi tupatie ili tulishughulikie suala hili, hatuwezi kufanikiwa bila ushirikiano kutoka kwa kila raia wa nchi hii. Mimi ni mdau muhimu katika kupambana na tatizo la wahamiaji haramu
 
Kanyimwa za Jumamosi huyo.
weka nawe ushahidi ... Kanyimwa nini hizo za Jumamosi... usiwe kama mwehu.. Mdomo mrefu kama masikio ya Sungura...

Mtoa Hoja Huwa anashuhudia na anawajua lakini atapeleka wapi huu ushahidi wakati watuhumiwa ni Polisi anaweza potezwa... So alichojaribu ni kuweka humu mwenye Macho aone hata Huyo Raisi huwa anasoma au kusomewa so akishaona hmu kama hana udhaifu basi atalifanyia kazi kwa Kuwatuma Jeshi la wananchi wawakamate wahusika na watuhumiwa...

Some times Changia mada wacha utoto
 
tafadhali mwenye ushahidi anitumie na milango iko wazi kwa yeyote kupata mrejesho wa taarifa atakazotoa, where you hav bad guyz, there r good guyz as well.
 
Vipi Tena Mbona Ushahidi hauji... au Mdau keshapotezwa mabwepande?
 
Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.

Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia Feri Kigamboni hadi Kimbiji ambapo ni eneo la wilaya ya Kipolisi Kigamboni, kazi ya kuingiza wahamiaji haramu inaratibiwa na mtu mmoja yuko Kigamboni anaitwa Maafudhi/Maabubu.

Mtu huyu anashirikiana kwa karibu sana na Mkuu wa Kituo cha Polisi Kigamboni anayeitwa Mlasani. Wasomali wanaingilia maeneo ya ufukwe wa Kigamboni kuanzia Minazi Mikinda hadi Kimbiji.

Wasomali hawa wanaletwa na maboti hadi ufukweni na polisi kwa macho yetu tunaona wanawasindikiza kuwaingiza kwenye maroli yanayokuwa yameegeshwa barabarani yakisubiria.

Magari aina ya Canter au Fuso yakiwa yamefunikwa maturubai huwa yanatumika sana. Kama serikali inataka kujua ukweli wa jambo hili ifuatilie kwa wananchi na viongozi wa vijiji wa maeneo ya ufukwe wa Kigamboni.

Polisi wakibisha nitamwaga mambo zaidi hapa.
Kigamboni ndio Ruvu ulimaanisha au?
 
Back
Top Bottom