Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,519
- 51,173
Hataree sanaRais kaingizwa Mkenge!
Mama huwa hamanishi anachoongea.Rais kaingizwa Mkenge!
unazungumzia wale wanaopanga nyanya zao pale chini kuuza?Hawa watu kwa nini wasitoke na wana misingi mikubwa ya biashara kama hapo kariakoo unakuta mtu kapanga vijora si chini ya millioni 5 na Ushee ukiangalia biashara yake unajua kabisa huyu kodi ya Frem hashindwi kulipa
Hawa hawafukuzwi bali wanapelekwa au wanapangwa ili iwe rahisi kulipa kodikwenye simu unaweka tozo za kufa mtu
mtaani unawafukuza vijana wasipate riziki
Hivi hii serikali inafikiria mara mbilimbili maamuzi yake?
Picha ya ndege polisi wamekuja usiku wakachoma moto meza zote za hawa machinga, mbinu hii hii ifanye kazi kwa dar es salaam hawa watu wamekuwa kero mno mtaaniInatakiwa police waende usiku kwani wengi wao wanaishi mbali wakija asubuhi wanakuta peupe kunapendeza
Ndio kwa nini usiweze Ngoja wapangwe ndo utajua wanaweza ama launazungumzia wale wanaopanga nyanya zao pale chini kuuza?
Mtaji wa milioni 5, unaweza kuulipia fremu ya laki tano kwa mwezi?
kwenye simu unaweka tozo za kufa mtu
mtaani unawafukuza vijana wasipate riziki
Hivi hii serikali inafikiria mara mbilimbili maamuzi yake?
Machinga must go!Rais kaingizwa Mkenge!