Polisi wakimbizana na Wamachinga Dar


2BC5F53E-2428-4918-8342-CE713092D8FA.jpeg
 
Hawa watu kwa nini wasitoke na wana misingi mikubwa ya biashara kama hapo kariakoo unakuta mtu kapanga vijora si chini ya millioni 5 na Ushee ukiangalia biashara yake unajua kabisa huyu kodi ya Frem hashindwi kulipa
unazungumzia wale wanaopanga nyanya zao pale chini kuuza?

Mtaji wa milioni 5, unaweza kuulipia fremu ya laki tano kwa mwezi?
 
Back
Top Bottom