Hayo kawaulize machinga wenyewe!Walianza lini kukaa kwenye service road? Kwanini Machinga Complex ilibaki tupu? Kwanini hawaendi Mawasiliano, wanarudi pembezoni mwa Tanesco Power station? Karume lilifutiliwa mbali hata kuchomwa moto, ni lini lilianza soko la Karume, lini lilipaswa kuhama, na je tayari limeshahamia pale Complex ambapo ni pua na mdomo?
Mbagara rangi tatu mwaka 2019 niliambiwa frame laki 7 kwa mwezi na nilipe miezi sita kashi!! Na hapo nilipigana mpaka nikampata mwenye fremu huku nikiwa nimewakwepa madalali. Sasa hivi itakuwa 1.5 m nadhani. Sasa sipati picha Hapo Msimbazi frame zitakuwa bei gani.chini ya millioni 5 na Ushee ukiangalia biashara yake unajua kabisa huyu kodi ya Frem hashindwi kulipa
Mbagara rangi tatu kulipa Frem laki saba ni haki ile sehemu ina mzunguko wa biashara mno hata ukiuza visivyo uzwa watu wana nunuaMbagara rangi tatu mwaka 2019 niliambiwa frame laki 7 kwa mwezi na nilipe miezi sita kashi!! Na hapo nilipigana mpaka nikampata mwenye fremu huku nikiwa nimewakwepa madalali. Sasa hivi itakuwa 1.5 m nadhani. Sasa sipati picha Hapo Msimbazi frame zitakuwa bei gani.
Kumbuka songombingo alizozieleza Mshana Jr za ufanyaji biashara Kariakoo kwenye uzi wake ambao humo humu.
kwenye simu unaweka tozo za kufa mtu
mtaani unawafukuza vijana wasipate riziki
Hivi hii serikali inafikiria mara mbilimbili maamuzi yake?
Polisi washughulikieni hasa hawa wajinga vunjeni miguu kabisa
Jpm ni mpinzani!?Wapinzani ni wanafiki mno
Nchi lazima iwe na mipango, haiwezekani kila sehemu watu waweke bidhaa
Uongo hujafika hukoHata huko unapoona nchi zilizoendelea za ulaya hao wanaofanya biashara mitaani wapo hila wanapangwa wasibughudhi wengine sio kisingizio cha ajira mpk mzibe njia za watembea kwa miguu mtu inabidi apite barabarani kupishana na magari njia ya kutembelea imejengwa mabanda
Ama kweli sura si roho, wewe ndio wakutoa ushauri huu!?Inatakiwa police waende usiku kwani wengi wao wanaishi mbali wakija asubuhi wanakuta peupe kunapendeza
He was incompetent leader looking for cheap politics!!!!Halafu Magufuli alikuwa anawaambia wazaliane tu.Ndo vijana wenyewe asilimia kubwa ndo machinga. Wawaondoe tu.Wataumia ila watazoea tu.Kila mtu huko mikoani anawaza kuja Dar kuwa machinga. Enough is enough. Hakuna kurudi nyuma,wawaondoe tu. Watembea kwa miguu kariakoo unatembea huku umebana pochi yako kisa mbanano. Vibanda mbele ya maduka uliona wapi ?Vibanda kwenye service road jamani
...kama alitaka mwenzake awe mke mkubwa ....usitarajie mteremko kwa bi dada H ah haaaa!Ama kweli sura si roho, wewe ndio wakutoa ushauri huu!?
😅😅😅😅Ama kweli sura si roho, wewe ndio wakutoa ushauri huu!?
I’d yako nyingine ni ipi mkuu?...kama alitaka mwenzake awe mke mkubwa ....usitarajie mteremko kwa bi dada H ah haaaa!
Haha haaaa! Nina ID moja tu JF. Mimi bado barubaru sijaanza kupoteza kumbukumbu. Umesahau posts zako za humu JF? ha ha ha haaa!I’d yako nyingine ni ipi mkuu?
Ukiona fremu inapangishwa elfu 50 kwa mwezi ujue eneo hilo mzunguko hamna kabisa! Fremu za barabarani kama hivyo hata mitaani tu ni 100-200KWaende kwenye fremu za elfu 50 au laki kwa mwezi..., kila mtu anapata kulingana na uwezo
Sawa mkuuHaha haaaa! Nina ID moja tu JF. Mimi bado barubaru sijaanza kupoteza kumbukumbu. Umesahau posts zako za humu JF? ha ha ha haaa!