Maeneo yepiMsipotoshe....hakuna Biashara isiyo na mpangilio. Kwanini hawataki kwenda maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya biashara ya kimachinga?!
Hawa wajasiriamali sio wastaarabu mtu mwenye akili zake timamu hawezi shabikia,Mtu anayepanga biashara kwenye njia ya watembea kwa miguu walivyo wa ajabu maganda ya miwa na machungwa wanatupa kwenye mitaro ya maji matokeo ikinyesha mvua maji yanaingia mitaani kati ya kumi ya chinga nina imani wawili tu ndio wenye vitambulisho vya ujasiria
Kapike kwanzaHakuna chinga asiyeweza kupanga frem
Sasa kuongezewa siku 12 , ndio wengine walioishatoka wameanza kurudishia mabanda yao sehemu walizokuwa wameshaanza kutoka!!usipo kuwa mungwana nani atakuonyesha ungwana huo?Zile siku kumi 12 za nyongeza kumbe ilikuwa ni geresha? Naiomba serikali imalizane kiungwana na hawa mabwana..
Huwa hajui anaongea nini,yani yupoyupoMama huwa hamanishi anachoongea.
Wapate lakini kwa utaratibu mzuri, bila kuwa kero kwa wengine!!huwezi kufanya biashara bila kulipa kodi, anayelipa kodi anashindwa kufanya biashara kutoka na vurugu zako!!kwenye simu unaweka tozo za kufa mtu
mtaani unawafukuza vijana wasipate riziki
Hivi hii serikali inafikiria mara mbilimbili maamuzi yake?
Nimemaliza kupika mkuu karibuKapike kwanza
Mjini hapa 😂😂😂Wafukuzwe barabarani...machinga ni wasumbufu sana,wanajipangia bidhaa ovyo. Nilishawahi kulipa 2,000tsh machenza 2. Wapigwe tu
Kwahiyo wapinzani ndio waliwaambiwa wamachinga wafanye biashara kokote,huu upuuzi umeanza 2016 baada wa jpm kusema wasisumbuliweWapinzani ni wanafiki mno
Nchi lazima iwe na mipango, haiwezekani kila sehemu watu waweke bidhaa
Kajiingiza mwenyewe....Rais kaingizwa Mkenge!
Wakirudi mtaani Sasa ,mmmhhh Wacha tuanze kuimarisha ulinzi maana huo msala serikali wametutupia kiaina
Kuziba njia ni tatizo lililoletwa na marehemuHata huko unapoona nchi zilizoendelea za ulaya hao wanaofanya biashara mitaani wapo hila wanapangwa wasibughudhi wengine sio kisingizio cha ajira mpk mzibe njia za watembea kwa miguu mtu inabidi apite barabarani kupishana na magari njia ya kutembelea imejengwa mabanda
Mtoto umleavyoMachinga ni matokeo ya kushindwa kwa sera za ccm kuhusu ajira na uchumi
Walianza lini kukaa kwenye service road? Kwanini Machinga Complex ilibaki tupu? Kwanini hawaendi Mawasiliano, wanarudi pembezoni mwa Tanesco Power station? Karume lilifutiliwa mbali hata kuchomwa moto, ni lini lilianza soko la Karume, lini lilipaswa kuhama, na je tayari limeshahamia pale Complex ambapo ni pua na mdomo?Service road siyo maeneo ya biashara
Kwa mtaji ganiWajiunge watu watano,wanafunguwa Frem,wanalipa kwa kuchanga.Kwa mfano Frem ni laki 5,wawe wanachsnga laki laki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Machinga hawezi kaa ghorofani,Mtoto umleavyo