Polisi waanza kuisoma namba ya Mh Rais!

Polisi waanza kuisoma namba ya Mh Rais!

Kila askari ana umuhimu kwa nafasi yake
Suppose hayo wezi wanaofungwa jela wakiachiwa wote wajae mtaani?
Kuna majambazi na watu wengi hatari unawajua au waiachie jwtz ifanye kazi zote?
Watanzania uelewa wetu bado ni mdogo tukubali tu
TPDF ndio kila kitu bwashee hakuna asie jua hhilo hata darasa la kwanza!
 
Yani umesema kweli hizo nyumba wanazoishi sasa eti kotaz duh mi nawaoneaga Huruma sana japo na mm sina maisha mazuri ila Mmmh zile nyumba za polisi na askari magereza ni vichekesho inasikitisha duh
Kweli kabisa Mkuu..... Halafu wanafanya kazi kwenye Mazingira hatari mno, hebu fikiri ni marangapi polisi wamefia lakini ?.
 
Wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2015 kibwagizo kilichoshika sana kulikuwa "ccm ni ile ile"

Baada ya uchaguzi mwaka mmoja tu, msisitizo umekuwa kwenye "kuisoma namba"

Jambo gani limechangia mabadiliko hayo ya gafura ?
 
Hakuna cha kuisoma namba wala kusomeshwa namba
Polis, magereza na wengineo wote ela watapata ila jwtz ndo imeanza hili ni jambo la kawaida sana maana hata usalama wa taifa hawajapata
Unadhani rais atawasomesha namba hadi usalama wa taifa?
Maana usalama wa taifa, polisi na magereza ndo rais kasema watapewa miezi mingine Ila kwa sasa wataanza na jwtz sasa watu naona wanashangilia sijui kitu gani labda?

Siku wakipewa ela hamtajua sasa na mtaendelea kuzusha hawapewi ela kumbe wenzenu washalama chao
 
Back
Top Bottom