Polisi waanza kuisoma namba ya Mh Rais!

Polisi waanza kuisoma namba ya Mh Rais!

Nikweli,,amefanya la maana kuwajari JWTZ kwanza,,,,wanalinda mipaka ya nchi
Kila askari ana umuhimu kwa nafasi yake
Suppose hayo wezi wanaofungwa jela wakiachiwa wote wajae mtaani?
Kuna majambazi na watu wengi hatari unawajua au waiachie jwtz ifanye kazi zote?
Watanzania uelewa wetu bado ni mdogo tukubali tu
 
Umeongeza chumvi kwenye maneno yako. Hyo ya duty free mbona wanaijua. Kama utakumbuka hotuba ya waziri wa fedha alivyosoma budget aliisema hyo
Fafanua kidogo mkuu wanaijua kivipi na Waziri alisemaje maana kama vile sikumbuki lolote
 
Watu wana silaha, marungu, mabom ya machozi, pingu... ? wanaonewaje wewe?!
Ila tuweni wakweli, Polisi ni miongoni mwa watumishi wa umma wanao onewa sana.

Mishahara yao ni uchungu, makazi yao ni vituko tupu.

Tumpongeze kwa kuwanyima posho, ila wakiungana na panya road kujiongezea kipato tutoe pongezi pia.
 
Haibadilishi maana kwa kuwa wanatuonea sana hao polisi na magari yao ya washa washa.
Mtu hadi tunashindwa kuandaa mana kutetea haki yetu ya kutokuburuzwa!??!!!
Mkuu, silaha kuu ya kujikinga na uonevu ni akili.
Hivyo ulivyotaja ni physical destructive materials.
 
Kila askari ana umuhimu kwa nafasi yake
Suppose hayo wezi wanaofungwa jela wakiachiwa wote wajae mtaani?
Kuna majambazi na watu wengi hatari unawajua au waiachie jwtz ifanye kazi zote?
Watanzania uelewa wetu bado ni mdogo tukubali tu

JWTZ ipo imara,,waachiwe hata kesho hao wafungwa na wahalifu wengine, nakuhakikishia waturudishwa gerezani
mmoja baada ya mwingine kama kuku,police wanapata hela ya ziada ya kupiga kiwi viatu,,JWTZ wanapata wapi
 
JWTZ ipo imara,,waachiwe hata kesho hao wafungwa na wahalifu wengine, nakuhakikishia waturudishwa gerezani
mmoja baada ya mwingine kama kuku,police wanapata hela ya ziada ya kupiga kiwi vitatu,,JWTZ wanapata wapi
Unazungumza kwa ushabiki tu, nchi zote duniani zina polisi na magereza kwani wanajeshi hakuna? Unajua maana ya mgawanyo wa madaraka? Au unapenda kuangalia rangi za nguo
Polisi wasiwepo kabisa uone utakavyoishi kwa shida
Au magereza yasiwepo uone balaa lake
Walioweka haya majeshi ulimwenguni kote sio wajinga mkuu
 
Haibadilishi maana kwa kuwa wanatuonea sana hao polisi na magari yao ya washa washa.
Mtu hadi tunashindwa kuandaa mana kutetea haki yetu ya kutokuburuzwa!??!!!
Ndio maana huwa nasema upinzani Tanzania ni dhaifu! wewe unajua kabisa kwamba kuandamana ni haki yako halafu unazuiwa kirahisi na polisi?
Haki haiombwi, haki inapiganiwa.
 
Kwa maana hiyo unatafuta matusi ili tupigwe ban si ndio??
Ndio maana huwa nasema upinzani Tanzania ni dhaifu! wewe unajua kabisa kwamba kuandamana ni haki yako halafu unazuiwa kirahisi na polisi?
Haki haiombwi, haki inapiganiwa.
 
Ah kwa polisi wala sioni tatizo watajilipa tu kama kawaida yao.tena mara mbili ya waliopewa jwtz.

Sasa tusikikizie barabarani huko.
 
Kwa maana hiyo unatafuta matusi ili tupigwe ban si ndio??
Leo hii Dunia inaomboleza kifo cha Fidel Castro kwa kumwita shujaa,

Fidel Castro alikuwa mpigania haki na sii mwomba haki.Ndio maana aliweza kutwaa dola na kuongoza nchi karibu miaka 50, akipokea kila aina ya kitisho kila palipokucha.
Sasa kama huwezi kupigania haki yako utaishia kutukana tu.
 
Back
Top Bottom