Polisi waanza kuisoma namba ya Mh Rais!

Polisi waanza kuisoma namba ya Mh Rais!

Ila tuweni wakweli, Polisi ni miongoni mwa watumishi wa umma wanao onewa sana.

Mishahara yao ni uchungu, makazi yao ni vituko tupu.

Tumpongeze kwa kuwanyima posho, ila wakiungana na panya road kujiongezea kipato tutoe pongezi pia.
I do agree mkuu
 
Mtoa hoja wewe ni lichochezi tu hamna namna nikuseme vingine! Rais kasema atakuwa analipa kwa awamu miezi mitatu mitatu, kwa kuanza wataanza JWTZ mwezi unaofuata ni POLISI wote bila kubagua magereza, pamoja na TISS, UHAMIAJI na FIRE. Kwa maana nyingine majeshi ya ulinzi na usalama bila kubagua. Tofauti ni kuwa watalipwa miezi tofauti tofauti, sikiliza tena kiumakini....
 
Mtoa hoja wewe ni lichochezi tu hamna namna nikuseme vingine! Rais kasema atakuwa analipa kwa awamu miezi mitatu mitatu, kwa kuanza wataanza JWTZ mwezi unaofuata ni POLISI wote bila kubagua magereza, pamoja na TISS, UHAMIAJI na FIRE. Kwa maana nyingine majeshi ya ulinzi na usalama bila kubagua. Tofauti ni kuwa watalipwa miezi tofauti tofauti, sikiliza tena kiumakini....

Wewe ndio hujaelewa.Alichosema ni kwamba Posho hiyo itakuwa inawekwa kwenye Mishahara ya Wanajeshi wa JWTZ kila baada ya miezi mitatu.Majeshi mengine yasubiri hali ya kifedha itakaporuhusu.Hajasema kwamba mwezi utakaofuata ni Polisi na utakaofuata ni TISS.Jaribu kusikiliza kwa makini utaelewa alichomaanisha.
 
Cjakusoma unachofurahia, unajua madhara ya kumnyima mlizi wako chakula? Au unawaza kwa mawazo finyu?
 
Mh.Rais kazi nzuri sana, nashukru umewaonyesha Polisi wew siyo mtu wa mchezo mchezo.

Posho ile ya Duty free itaanza na JWTZ na wao POLISI na TISS itafuata baadae pale uchumi utakaporuhusu. MAGEREZA na wale sijui FIRE ndiyo hawajatajwa kabisaa..

Huu mchezo hautaki hasra, safi sana mh Rais utakuwa umewafundisha hawa Polisi kuwa wewe siyo mtu wa mchezo mchezo..

Ebu fungua hii vidio usikilize mh. Rais anavyoyagawa Majeshi yake..

mimi nafikiri mtuma taarifa umemfahamu vibaya mh. Magufuli, alivyokusudia ni kwamba, hicho kima kitatolewa sawa kwa askari wa majeshi yote na kwa awamu, ila kadiri hali ya uchumi itakapoimarika na hicho kima kinapanda.
Wanaanza JWTZ, wanafuata Jeshi la Polisi, TIS nk.
hiyo ni mantiki iliyokusudiwa pale.
 
mimi nafikiri mtuma taarifa umemfahamu vibaya mh. Magufuli, alivyokusudia ni kwamba, hicho kima kitatolewa sawa kwa askari wa majeshi yote na kwa awamu, ila kadiri hali ya uchumi itakapoimarika na hicho kima kinapanda.
Wanaanza JWTZ, wanafuata Jeshi la Polisi, TIS nk.
hiyo ni mantiki iliyokusudiwa pale.


unadhani ni vyema kufanya hivyo kwa majeshi na uchumi usiporuhusu au ukaruhusu baada ya miezi 12 hayo malimbikizo atawapatia?
 
Wewe ndio hujaelewa.Alichosema ni kwamba Posho hiyo itakuwa inawekwa kwenye Mishahara ya Wanajeshi wa JWTZ kila baada ya miezi mitatu.Majeshi mengine yasubiri hali ya kifedha itakaporuhusu.Hajasema kwamba mwezi utakaofuata ni Polisi na utakaofuata ni TISS.Jaribu kusikiliza kwa makini utaelewa alichomaanisha.


bora wew unaelewa
 
Mtoa hoja wewe ni lichochezi tu hamna namna nikuseme vingine! Rais kasema atakuwa analipa kwa awamu miezi mitatu mitatu, kwa kuanza wataanza JWTZ mwezi unaofuata ni POLISI wote bila kubagua magereza, pamoja na TISS, UHAMIAJI na FIRE. Kwa maana nyingine majeshi ya ulinzi na usalama bila kubagua. Tofauti ni kuwa watalipwa miezi tofauti tofauti, sikiliza tena kiumakini....


nafikri ww uelewa wako ni mdogo...isikilize tena kwa kuikalili hiyo video utaelewa
 
Wangepewa tu,kuwanyima italeta shida Kwa watu kubambikwa makosa kama njia ya kujiongezea kipato.
 
Wangepewa tu,kuwanyima italeta shida Kwa watu kubambikwa makosa kama njia ya kujiongezea kipato.
 
Umeongeza chumvi kwenye maneno yako. Hyo ya duty free mbona wanaijua. Kama utakumbuka hotuba ya waziri wa fedha alivyosoma budget aliisema hyo
huyu hajui alichokuwa anakizungumza, ndo maana amekimbilia kwenye video, ameshindwa kufafanua hata duty free ninini
 
Zaidi ya asilimia 70 ya silaha zote nchini, zinamilikiwa na raia.... Silaha za raia toa magobole zinasimamiwa na polisi, jeshi la polisi linakazi kubwa sana kwa Tanzania ya sasa..... JWTZ wapo kwa uhakika wa ulinzi na usalama tu ila ulinzi na usalama nchini ni kutokana na kazi kubwa ya polisi. Tanzania bila jeshi la polisi JWTZ haitakuwepo maana simply kutakua hamna nchi bali shamba la wahalifu....hakuku na haja yakuwafanya hawa waonekane bora zaidi ya hawa.... Dunia inaelekea katika uboreshaji wa majeshi katika mbinu na technology mpya naona sisi bado tuko na sera ya mkoloni ya kuwafurahisha wanajeshi.
 
Huyu mtu ni bonge la dictator. Umeona alipoanzia kupooza maana anajuwa akishavipumbaza vyombo vya ulinzi na usalama atafanya chochote atachotaka.

Kwanini asianze na walimu, manesi na madaktari au watumishi wengine wa kawaida?
Ameanza na walimu kwa kuondoa hela kwaajili ya kusimamia mitihani.
 
Laiti ungejua jwtz hawana elimu ya ku handle jamii, ikitokeaga mwenzao tu kapigwa ktk ulevi kesho hawantafuti aliyempiga mwenzao wao watataka kupiga mtaa mzima.
Sipati picha wakiachwa wafanye kazi za polisi mwezi itakuwaje!!!

Ukikutwa na tshet tu inafanania jeshi utaburuzwa mtaroni, utapakwa tope, na utarukishwa kichura mpk damu izizime!!!
Much respect to Police of Tanzania

HAPO sasa ndio mtihani
 
Ila tuweni wakweli, Polisi ni miongoni mwa watumishi wa umma wanao onewa sana.

Mishahara yao ni uchungu, makazi yao ni vituko tupu.

Tumpongeze kwa kuwanyima posho, ila wakiungana na panya road kujiongezea kipato tutoe pongezi pia.
Yani umesema kweli hizo nyumba wanazoishi sasa eti kotaz duh mi nawaoneaga Huruma sana japo na mm sina maisha mazuri ila Mmmh zile nyumba za polisi na askari magereza ni vichekesho inasikitisha duh
 
Ila tuweni wakweli, Polisi ni miongoni mwa watumishi wa umma wanao onewa sana.

Mishahara yao ni uchungu, makazi yao ni vituko tupu.

Tumpongeze kwa kuwanyima posho, ila wakiungana na panya road kujiongezea kipato tutoe pongezi pia.
Na nyie mjiandae kupigwa za kubrashia viatu
 
Back
Top Bottom