Polisi waanza kuisoma namba ya Mh Rais!

Polisi waanza kuisoma namba ya Mh Rais!

sirjohn

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
767
Reaction score
679
Mh.Rais kazi nzuri sana, nashukru umewaonyesha Polisi wew siyo mtu wa mchezo mchezo.

Posho ile ya Duty free itaanza na JWTZ na wao POLISI na TISS itafuata baadae pale uchumi utakaporuhusu. MAGEREZA na wale sijui FIRE ndiyo hawajatajwa kabisaa..

Huu mchezo hautaki hasra, safi sana mh Rais utakuwa umewafundisha hawa Polisi kuwa wewe siyo mtu wa mchezo mchezo..

Ebu fungua hii vidio usikilize mh. Rais anavyoyagawa Majeshi yake..
 

Attachments

Ila tuweni wakweli, Polisi ni miongoni mwa watumishi wa umma wanao onewa sana.

Mishahara yao ni uchungu, makazi yao ni vituko tupu.

Tumpongeze kwa kuwanyima posho, ila wakiungana na panya road kujiongezea kipato tutoe pongezi pia.
 
Mh.Rais kazi nzuri sana, nashukru umewaonyesha Polisi wew siyo mtu wa mchezo mchezo.

Posho ile ya Duty free itaanza na JWTZ na wao POLISI na TISS itafuata baadae pale uchumi utakaporuhusu. MAGEREZA na wale sijui FIRE ndiyo hawajatajwa kabisaa..

Huu mchezo hautaki hasra, safi sana mh Rais utakuwa umewafundisha hawa Polisi kuwa wewe siyo mtu wa mchezo mchezo..

Ebu fungua hii vidio usikilize mh. Rais anavyoyagawa Majeshi yake..
We Mzee umehamia JWTZ maana mwanzoni ulikuwa unaleta mada za kuwanadi mapolisi sana..sasa hivi naona tena umegeuka na kurudi TPDF.
 
Mh.Rais kazi nzuri sana, nashukru umewaonyesha Polisi wew siyo mtu wa mchezo mchezo.

Posho ile ya Duty free itaanza na JWTZ na wao POLISI na TISS itafuata baadae pale uchumi utakaporuhusu. MAGEREZA na wale sijui FIRE ndiyo hawajatajwa kabisaa..

Huu mchezo hautaki hasra, safi sana mh Rais utakuwa umewafundisha hawa Polisi kuwa wewe siyo mtu wa mchezo mchezo..

Ebu fungua hii vidio usikilize mh. Rais anavyoyagawa Majeshi yake..

Huyu mtu ni bonge la dictator. Umeona alipoanzia kupooza maana anajuwa akishavipumbaza vyombo vya ulinzi na usalama atafanya chochote atachotaka.

Kwanini asianze na walimu, manesi na madaktari au watumishi wengine wa kawaida?
 
Polisi watapewa hiyo posho 2019 ili 2020 wamkingie tena kifua bw mkubwa yaan polisi nao ni wa shuguli kila sehem wapo ila kathaman kao kwa bingwa nikadooogo acha iwe hivyo walau next time watapunguza upambe
 
Back
Top Bottom