Polisi Tanzania wamkamata Profesa Lipumba

Polisi Tanzania wamkamata Profesa Lipumba

Hapo anaigiza kukamatwa ili wapinzani waone hata yeye anakamatwa kisha akiomba kujiunga na wapinzani wa kweli wammkubali halafu awavuruge. Hata wakiwatuma wale waliompiga risasi Lissu na wampige na yeye, bado tunajua sio mpinzani bali pandikizi.
Duuu !
 
Maigizo tu,hatoshitakiwa,ataendelea na ziara!!

2015 alikuwa na kesi mahakamani ya kufanya maandamano bila kibali,Magu alipoapishwa akawa mtu wa kwanza kumtembelea Ikulu,wiki kadhaa baadae akamshukuru kupitia azam TV kuwa kamsaidia kufutiwa kesi yake!!!
 
Lipumba naye ni wa kukamata? Matumizi mabaya ya pato la Taifa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemkamata akiwa anakimbilia wapi? Lipumba naye ni wa kukamata? Matumizi mabaya ya pato la Taifa

Jr[emoji769]
 
Hebu mwachieni Mzee wa watu ...kawasaidia kumngoa Hamadi...sasa huu ndiyo mshahara wake!! Kuweni waungwana mandugu.
 
Back
Top Bottom