babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,949
- 6,752
Mchawi hujulikana. Si lazima avae kaniki au atembee uchiLipumba ni wakala wa ccm hawezi kukamatwa , labda kama wameamua kumtunza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchawi hujulikana. Si lazima avae kaniki au atembee uchiLipumba ni wakala wa ccm hawezi kukamatwa , labda kama wameamua kumtunza tu
Mkuu unajua unapotaka kunya unatafuta seemu nzuuuuri unaachia vitu ukishamaliza yaan hutaki ata kupaangalia ndo kwanza unapatemea na mate na unajiskia ata kutapika ukipaona. Ndo wamemfanyia ivo profWamemkamata akiwa anakimbilia wapi? Lipumba naye ni wa kukamata? Matumizi mabaya ya pato la Taifa
TANGA??
HAKUNA LOLOTE...NI CHANGA LA MACHOPolisi Tanzania wamkamata Profesa Lipumba>Polisi Tanzania wamkamata Profesa Lipumba
HAKUNA LOLOTE...NI CHANGA LA MACHO
Siku hizi kawa kama Dr shika.
Kwa harakati hizi kuna siku mtamkamata polepole kwa kufanya mkutano bila kibali.