Polisi mtabaki maskini, na mtakufa masikini!

Polisi mtabaki maskini, na mtakufa masikini!

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,121
Reaction score
24,399
Hakuna watu nawachukia kama hawa viumbe wanaoitwa Polisi

Ndo maana mkiingia kwenye anga za wajeshi huwa wanawashughulikia

Wengi ni form four leavers ambao walifeli hawana elimu yoyote kichwan zaidi ya kuua watu, kupiga watu na kuwabambikizia kesi za kihuni tu.

Hawa ndo wamechelewesha ukombozi wa nchi yetu,kutwa kujipendekeza halafu mnakaa kwenye kota zilizochoka kama nini.

Ndo maana huwa mnakufa vibaya na mnaishiaga pabaya.Mnajionaga mmewin maisha na hiyo kazi yenu ya laana iliyojaa damu na machozi ya watu.

Mloshuhudia tukio la Pale Njia ya Goba mwezi wa nane lile gari lilokua linataka kuwagonga traffic walokua kwenye wamesimama wakiruhusu magari upande mmoja tu,basi muhusika alikua ni mimi wanatengeneza foleni za kipumbavu, halafu wanaruhusu magari upande mmoja tu kisa kuna mkubwa mmoja wa uvccm alikua anapita mtu ukichomekea tu unapigwa faini na kukamatwa, mimi waliniletea huu ujinga hasira zikanipanda nikapita pembeni nikielekea kwa spidi kwenye kisehemu walichokua wamesimama na walipokua wamekaa bahati nzuri walikwepa wote wanne walokuwepo pale (Askari polisi watatu na traffic mmoja).Mna bahati siku ile maana nia yangu ilikua ni kuwapitia pale pale.

Nina hasira na hawa watu sana, hawa walituulia ndugu zetu tarehe 29 kwa malipo ya shilingi laki 3 na 10 ambayo hata mganga hawezi kubali akurogee mtu kwa shilingi laki 3. Polisi wote mna laana na mtazidi kufa vibaya.

Na damu mlizomwaga tarehe 29 mtazilipa zote nawaapia nyie ni kizazi cha laana na mna laana za kuuwa na kuonea watu

Tutadeal na nyie one by one subirini mtaona
 
Nina marafiki wengi ambao ni polisi
Nimewauliza mara kadhaa kuhusu hiki walichofanya
Wote wamekana na kusema kuwa hawajui lolote, na hawajui nani aliuwa Watanganyika na muda Gani
Tuwaelewe hawa polisi ni Watanganyika wenzetu
 
Hakuna watu nawachukia kama hawa viumbe wanaoitwa Polisi

Ndo maana mkiingia kwenye anga za wajeshi huwa wanawashughulikia

Wengi ni form four leavers ambao walifeli hawana elimu yoyote kichwan zaidi ya kuua watu, kupiga watu na kuwabambikizia kesi za kihuni tu.

Hawa ndo wamechelewesha ukombozi wa nchi yetu,kutwa kujipendekeza halafu mnakaa kwenye kota zilizochoka kama nini.

Ndo maana huwa mnakufa vibaya na mnaishiaga pabaya.Mnajionaga mmewin maisha na hiyo kazi yenu ya laana iliyojaa damu na machozi ya watu.

Mloshuhudia tukio la Pale Njia ya Goba mwezi wa nane lile gari lilokua linataka kuwagonga traffic walokua kwenye wamesimama wakiruhusu magari upande mmoja tu,basi muhusika alikua ni mimi wanatengeneza foleni za kipumbavu, halafu wanaruhusu magari upande mmoja tu kisa kuna mkubwa mmoja wa uvccm alikua anapita mtu ukichomekea tu unapigwa faini na kukamatwa, mimi waliniletea huu ujinga hasira zikanipanda nikapita pembeni nikielekea kwa spidi kwenye kisehemu walichokua wamesimama na walipokua wamekaa bahati nzuri walikwepa wote wanne walokuwepo pale (Askari polisi watatu na traffic mmoja).Mna bahati siku ile.

Nina hasira na hawa watu sana, hawa walituulia ndugu zetu tarehe 29 kwa malipo ya shilingi laki 3 na 10 ambayo hata mganga hawezi kubali akurogee mtu kwa shilingi laki 3. Polisi wote mna laana na mtazidi kufa vibaya.

Na damu mlizomwaga tarehe 29 mtazilipa zote nawaapia nyie ni kizazi cha laana na mna laana za kuuwa na kuonea watu

Tutadeal na nyie one by one subirini mtaona
Hayo siyo matatizo yao, pammbana na hali yako.

Kule CCP Moshi hawakwenda kusomea nursing au hotel management. Walikwenda kusomea namna ya ku deal na watukutu
 
Kwani humu jf hakuna mapolisi na wanajeshi?
Wapo wengi tu soon utawaona wakimrushia mawe mleta mada.

Najua hainihusu ila hawa jamaa wana maisha duni sana hasa wa rank za chini. Ni wabinafsi mno, nasema ni wabinafsi kwa sababu hawawazi kesho ya vizazi vyao. Hao ndio game changers lakini mpaka sasa ndio kwa asilimia kubwa wanachangia hali kuwa hivi ilivyo. Na zile nyumba zao za ALAF INTERNATIONAL. Bado sijamaliza kuandika
 
Wapo wengi tu soon utawaona wakimrushia mawe mleta mada.

Najua hainihusu ila hawa jamaa wana maisha duni sana hasa wa rank za chini. Ni wabinafsi mno, nasema ni wabinafsi kwa sababu hawawazi kesho ya vizazi vyao. Hao ndio game changers lakini mpaka sasa ndio kwa asilimia kubwa wanachangia hali kuwa hivi ilivyo. Na zile nyumba zao za ALAF INTERNATIONAL. Bado sijamaliza kuandika
Vyombo vya usalama wanachangia pakubwa sisi kufika hapa.
 
Kwenye Maria Space wanataka kesho watu wajichanganye na wafanyakazi wakiruhusiwa kupita kwenda town

Hii ngoma bado mbichi, sijui hii hali itaendelea mpaka lini
 
Hizi kazi za majeshi kuvaa uniform kama wanafunzi wa chekechea zinalaana
 
Back
Top Bottom