Polisi mtabaki maskini, na mtakufa masikini!

Polisi mtabaki maskini, na mtakufa masikini!

Wewe tahira sana
Katika vyombo vya ulinzi Tanzania jeshi la polisi ndilo linaongoza kuwa na wasomi wengi.
Baada ya ushenzi wenu kufeli mnakuja na ujinga wenu
 
Hayo siyo matatizo yao, pammbana na hali yako.

Kule CCP Moshi hawakwenda kusomea nursing au hotel management. Walikwenda kusomea namna ya ku deal na watukutu
Tatizo kubwa la polisi wa Tz ni aina ya watu wanaochukuliwa. Kuna wakati waziri Simbachawene, alipokuwa waziri wa mambo ya ndani, aliulizwa kwa nini katika kuajiri polisi wanachukua watu wenye uwezo mdogo wa akili? Akajibu akasema, huwezi kumchukua mtu aliyefanya vizuri kwenye masomo, akubali kulinda bank usiku. lilikuwa jibu la ajabu sana. Mbona nchi nyingine wanachukua watu wenye akili timamu kabisa kuwa polisi? Huko hawalindi mabenki? Kwa sifa hizo za kuwa na akili ndogo ndiyo uwe polisi, ufahamu kuwa kila polisi unayemwona huko njiani, ana akili below average. Mtu asiye na akili timamu, ukimpa silaha anaweza kufanya mambo ya ajabu sana, kama tulivyoshuhudia Oct 29.

Usitegemee hawa polisi akili ndogo hata wakipelekwa kule kwenye chuo chao, huwa wanatoka na chochote. Wanakuwa kama mbwa aliyefundishwa vizuri
 
Tatizo kubwa la polisi wa Tz ni aina ya watu wanaochukuliwa. Kuna wakati waziri Simbachawene, alipokuwa waziri wa mambo ya ndani, aliulizwa kwa nini katika kuajiri polisi wanachukua watu wenye uwezo mdogo wa akili? Akajibu akasema, huwezi kumchukua mtu aliyefanya vizuri kwenye masomo, akubali kulinda bank usiku. lilikuwa jibu la ajabu sana. Mbona nchi nyingine wanachukua watu wenye akili timamu kabisa kuwa polisi? Huko hawalindi mabenki? Kwa sifa hizo za kuwa na akili ndogo ndiyo uwe polisi, ufahamu kuwa kila polisi unayemwona huko njiani, ana akili below average. Mtu asiye na akili timamu, ukimpa silaha anaweza kufanya mambo ya ajabu sana, kama tulivyoshuhudia Oct 29.

Usitegemee hawa polisi akili ndogo hata wakipelekwa kule kwenye chuo chao, huwa wanatoka na chochote. Wanakuwa kama mbwa aliyefundishwa vizuri
Kama mnalijua hilo basi TII AMRI bila SHURTI
 
Wewe umetajirika kwa kipi baada ya kuchoma mali za umma na kupora mali za watu kwa kisingizio za maandamano?
 
Hizi kazi za majeshi kuvaa uniform kama wanafunzi wa chekechea zinalaana
Tatizo kubwa ni recruitment yetu. Mbona nchi zingine kama marekani polisi wanaheshimika na wakipishana na raia popote wanasalimiwa kwa kuambiwa "thank you for your service", ikiwa na maana ya kutoa shukrani kwa kazi ngumu wanayoifanya ya kuweka usalama wao rehani kwa sababu ya kulinda raia wema.

Katika nchi yetu tatizo lilianzia pale tulipozifanya kazi za polisi na jeshi kuwa specific kwa ajiri ya waliofeli shule. Mtu mwenye uelewa finyu ana uwezekano mkubwa zaidi wa kufanya maamuzi mabovu, ni hatari mtu kama huyo kupewa silaha ya moto. It's s not fun when the rabbit got the gun.
 
Hakuna watu nawachukia kama hawa viumbe wanaoitwa Polisi

Ndo maana mkiingia kwenye anga za wajeshi huwa wanawashughulikia

Wengi ni form four leavers ambao walifeli hawana elimu yoyote kichwan zaidi ya kuua watu, kupiga watu na kuwabambikizia kesi za kihuni tu.

Hawa ndo wamechelewesha ukombozi wa nchi yetu,kutwa kujipendekeza halafu mnakaa kwenye kota zilizochoka kama nini.

Ndo maana huwa mnakufa vibaya na mnaishiaga pabaya.Mnajionaga mmewin maisha na hiyo kazi yenu ya laana iliyojaa damu na machozi ya watu.

Mloshuhudia tukio la Pale Njia ya Goba mwezi wa nane lile gari lilokua linataka kuwagonga traffic walokua kwenye wamesimama wakiruhusu magari upande mmoja tu,basi muhusika alikua ni mimi wanatengeneza foleni za kipumbavu, halafu wanaruhusu magari upande mmoja tu kisa kuna mkubwa mmoja wa uvccm alikua anapita mtu ukichomekea tu unapigwa faini na kukamatwa, mimi waliniletea huu ujinga hasira zikanipanda nikapita pembeni nikielekea kwa spidi kwenye kisehemu walichokua wamesimama na walipokua wamekaa bahati nzuri walikwepa wote wanne walokuwepo pale (Askari polisi watatu na traffic mmoja).Mna bahati siku ile.

Nina hasira na hawa watu sana, hawa walituulia ndugu zetu tarehe 29 kwa malipo ya shilingi laki 3 na 10 ambayo hata mganga hawezi kubali akurogee mtu kwa shilingi laki 3. Polisi wote mna laana na mtazidi kufa vibaya.

Na damu mlizomwaga tarehe 29 mtazilipa zote nawaapia nyie ni kizazi cha laana na mna laana za kuuwa na kuonea watu

Tutadeal na nyie one by one subirini mtaona
Haha ushindwe kulilaumu jeshi uwalaumu Polisi kwani mwenye anaamua kuchukua ni nani na Wanajeshi si ndo waliruhusu wananchi kuuliwa na yupi aliyelipwa hiyo laki3 na kumi si JW sasa kwanini usiwalaumu Wanajeshi
 
Hakuna watu nawachukia kama hawa viumbe wanaoitwa Polisi

Ndo maana mkiingia kwenye anga za wajeshi huwa wanawashughulikia

Wengi ni form four leavers ambao walifeli hawana elimu yoyote kichwan zaidi ya kuua watu, kupiga watu na kuwabambikizia kesi za kihuni tu.

Hawa ndo wamechelewesha ukombozi wa nchi yetu,kutwa kujipendekeza halafu mnakaa kwenye kota zilizochoka kama nini.

Ndo maana huwa mnakufa vibaya na mnaishiaga pabaya.Mnajionaga mmewin maisha na hiyo kazi yenu ya laana iliyojaa damu na machozi ya watu.

Mloshuhudia tukio la Pale Njia ya Goba mwezi wa nane lile gari lilokua linataka kuwagonga traffic walokua kwenye wamesimama wakiruhusu magari upande mmoja tu,basi muhusika alikua ni mimi wanatengeneza foleni za kipumbavu, halafu wanaruhusu magari upande mmoja tu kisa kuna mkubwa mmoja wa uvccm alikua anapita mtu ukichomekea tu unapigwa faini na kukamatwa, mimi waliniletea huu ujinga hasira zikanipanda nikapita pembeni nikielekea kwa spidi kwenye kisehemu walichokua wamesimama na walipokua wamekaa bahati nzuri walikwepa wote wanne walokuwepo pale (Askari polisi watatu na traffic mmoja).Mna bahati siku ile.

Nina hasira na hawa watu sana, hawa walituulia ndugu zetu tarehe 29 kwa malipo ya shilingi laki 3 na 10 ambayo hata mganga hawezi kubali akurogee mtu kwa shilingi laki 3. Polisi wote mna laana na mtazidi kufa vibaya.

Na damu mlizomwaga tarehe 29 mtazilipa zote nawaapia nyie ni kizazi cha laana na mna laana za kuuwa na kuonea watu

Tutadeal na nyie one by one subirini mtaona
Jahaj ushindwe kulilaumu jeshi uwalaumu Polisi kwani mwenye anaamua kuchukua ni nani na Wanajeshi si ndo waliruhusu wananchi kuuliwa na yupi aliyelipwa hiyo laki3 na kumi si JW sasa kwanini usiwalaumu Wanajeshi

Katika Majeshi yote Tz wizara ya mambo ya ndani ndo kuna wasomi Jw kule ndo kuna darasa la saba
 
Hakuna watu nawachukia kama hawa viumbe wanaoitwa Polisi

Ndo maana mkiingia kwenye anga za wajeshi huwa wanawashughulikia

Wengi ni form four leavers ambao walifeli hawana elimu yoyote kichwan zaidi ya kuua watu, kupiga watu na kuwabambikizia kesi za kihuni tu.

Hawa ndo wamechelewesha ukombozi wa nchi yetu,kutwa kujipendekeza halafu mnakaa kwenye kota zilizochoka kama nini.

Ndo maana huwa mnakufa vibaya na mnaishiaga pabaya.Mnajionaga mmewin maisha na hiyo kazi yenu ya laana iliyojaa damu na machozi ya watu.

Mloshuhudia tukio la Pale Njia ya Goba mwezi wa nane lile gari lilokua linataka kuwagonga traffic walokua kwenye wamesimama wakiruhusu magari upande mmoja tu,basi muhusika alikua ni mimi wanatengeneza foleni za kipumbavu, halafu wanaruhusu magari upande mmoja tu kisa kuna mkubwa mmoja wa uvccm alikua anapita mtu ukichomekea tu unapigwa faini na kukamatwa, mimi waliniletea huu ujinga hasira zikanipanda nikapita pembeni nikielekea kwa spidi kwenye kisehemu walichokua wamesimama na walipokua wamekaa bahati nzuri walikwepa wote wanne walokuwepo pale (Askari polisi watatu na traffic mmoja).Mna bahati siku ile.

Nina hasira na hawa watu sana, hawa walituulia ndugu zetu tarehe 29 kwa malipo ya shilingi laki 3 na 10 ambayo hata mganga hawezi kubali akurogee mtu kwa shilingi laki 3. Polisi wote mna laana na mtazidi kufa vibaya.

Na damu mlizomwaga tarehe 29 mtazilipa zote nawaapia nyie ni kizazi cha laana na mna laana za kuuwa na kuonea watu

Tutadeal na nyie one by one subirini mtaona
Amen,dua zako zimekubalika mbele ya mnyazi mungu,upolisi.ni kazi ya laanifu
 
Masikini ni hao wa chini tu,SACP,DCP,CP&IGP wanaogelea kwenye ukwasi.

Zelothe Stephen alikuwa na makazi yake ushuani Sea View huko!!
 
Back
Top Bottom