Wiki hii kidogo police wa kituo cha Mombo wilaya ya Korogwe Mkoa wa Tanga kidogo watoane roho,
Picha iko hivi, kuna polisi anaitwa Ernest (Mhutu) alipewa rushwa getini Askari Muhd akaona akataka mgao mgogoro ukaanzia hapo. Mambo yalivyozidi Mhutu akawasha gari lake kwenda kumgonga Muhd bahati nzuri gari likampapasa Muhd, kwa sasa Ernest yuko lock up ya polisi Mombo, Kamanda Mangu chukua hatua.
Picha iko hivi, kuna polisi anaitwa Ernest (Mhutu) alipewa rushwa getini Askari Muhd akaona akataka mgao mgogoro ukaanzia hapo. Mambo yalivyozidi Mhutu akawasha gari lake kwenda kumgonga Muhd bahati nzuri gari likampapasa Muhd, kwa sasa Ernest yuko lock up ya polisi Mombo, Kamanda Mangu chukua hatua.