Shida ni kuhatarisha maisha sio kutosheherekea,ndicho anachokisema muhusika,mambo ya kibiti yamekujaje hapa?Kadhia za watu wa Kibiti usizitaje kwa dhihaka,huebda hata Kibiti hupajui,acha dhihaka wenzetu wanaishi kwa taharuki kupita digidigi,simamia kwenye content ya mada