Polisi mmewaona WCB au?

hahahahah safi sana timu KIBA
Sina timu na nazipenda nyimbo zao lkn sheria za barabaran lazima ziheshimiwe, walikuwa wanapita katkat ya barabara kwa speed sana as if wanatumia barabara peke yao na hapo sijui kama walikuwa na kibali au hawakuwa na kibali,kama ingetokea ajali ingekuwa vp
 
So imekuuma
 
Mkuu utapoteza muda bure, wengi hawatakuekewa kwa kuwa licha ya uwezo mdogo wa kupambanua mambo, pia hawatumii ubongo kuwaza bali moyo. Utapoteza muda bure na hakuna atakaetoa hoja zaidi ya povu, wachache ndo watakuelewa.
 
Mkuu utapoteza muda bure, wengi hawatakuekewa kwa kuwa licha ya uwezo mdogo wa kupambanua mambo, pia hawatumii ubongo kuwaza bali moyo. Utapoteza muda bure na hakuna atakaetoa hoja zaidi ya povu, wachache ndo watakuelewa.
Sasa kwanini wewe ukumpa ushauri,badala yake umetumia komenti yako kusuta wengine ???
 
Mkuu utapoteza muda bure, wengi hawatakuekewa kwa kuwa licha ya uwezo mdogo wa kupambanua mambo, pia hawatumii ubongo kuwaza bali moyo. Utapoteza muda bure na hakuna atakaetoa hoja zaidi ya povu, wachache ndo watakuelewa.
Kweli hawawez kunielewa ushabiki wa timu zao wameuweka mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…