Hivi hizi fujo tulizofanyiwa leo barabarani na hawa wanaojiita WCB wakiongozwa na diamond platnumz wakitoka kumpokea mwenzao Rayvanny mmeziona au wenyewe wapo juu ya sheria maana bado kidogo tu nipate ajali kwa sababu ya waliyokuwa wanafanya barabarani
Hivi hizi fujo tulizofanyiwa leo barabarani na hawa wanaojiita WCB wakiongozwa na diamond platnumz wakitoka kumpokea mwenzao Rayvanny mmeziona au wenyewe wapo juu ya sheria maana bado kidogo tu nipate ajali kwa sababu ya waliyokuwa wanafanya barabarani
Sina timu na nazipenda nyimbo zao lkn sheria za barabaran lazima ziheshimiwe, walikuwa wanapita katkat ya barabara kwa speed sana as if wanatumia barabara peke yao na hapo sijui kama walikuwa na kibali au hawakuwa na kibali,kama ingetokea ajali ingekuwa vp
Hivi hizi fujo tulizofanyiwa leo barabarani na hawa wanaojiita WCB wakiongozwa na diamond platnumz wakitoka kumpokea mwenzao Rayvanny mmeziona au wenyewe wapo juu ya sheria maana bado kidogo tu nipate ajali kwa sababu ya waliyokuwa wanafanya barabarani
Mkuu utapoteza muda bure, wengi hawatakuekewa kwa kuwa licha ya uwezo mdogo wa kupambanua mambo, pia hawatumii ubongo kuwaza bali moyo. Utapoteza muda bure na hakuna atakaetoa hoja zaidi ya povu, wachache ndo watakuelewa.
Zero kwenye maandishi = zero kwenye brain
unajua walikuwa kwenye gari ndogo ya wazi?wangepata ajali huyo unayemshabikia leo angekua marehem na wala usingeandika uliyoandika
Msishabikie kila kitu hata yasiyokuwa na faida
Mkuu utapoteza muda bure, wengi hawatakuekewa kwa kuwa licha ya uwezo mdogo wa kupambanua mambo, pia hawatumii ubongo kuwaza bali moyo. Utapoteza muda bure na hakuna atakaetoa hoja zaidi ya povu, wachache ndo watakuelewa.
Mkuu utapoteza muda bure, wengi hawatakuekewa kwa kuwa licha ya uwezo mdogo wa kupambanua mambo, pia hawatumii ubongo kuwaza bali moyo. Utapoteza muda bure na hakuna atakaetoa hoja zaidi ya povu, wachache ndo watakuelewa.