Polisi: Lissu hatoki

Huyo Mkondya nae ni wa kupuuzwa tu! Unaona Sifa kuvunja Sheria? Sheria inahitaji nini katika hili?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu, ni vizuri ukatufafanulia polisi wamevunja wapi sheria ya kumshikilia Tundu Lissu na kumzuia kuonana na mawakili wake?

Kama sheria ipo ya kuruhusu au kutoruhusu kuonana kwa anaeshikiliwa na polisi kwa tuhuma za uchochezi, naomba uweke hapa tuichambue.
 
Lissu akipimwa mkojo si ajabu ukakutwa na chembechembe nyingi sana za Mihadarati, japo yupo ndani siku ya nne sasa. Combination ya Police wa TZ plus maagizo kutoka juu ni hatari zaidi ya Messi, Neymar na Luis Suarez.
 
Shule za kata zimedumaza akili yako hivyo huwezi kuelewa kile ambacho anakipigania lissu. MAZUZU kama wewe ndiyo mtaji mkubwa wa MACCM maana hamtambui haki zenu katika nchi huru hata chembe.

 
Shule za kata zimedumaza akili yako hivyo huwezi kuelewa kile ambacho anakipigania lissu. MAZUZU kama wewe ndiyo mtaji mkubwa wa MACCM maana hamtambui haki zenu katika nchi huru hata chembe.
Mnapigania
UJINGA, UKABILA, UKANDA
Hamna hoja ya msingi kwa sasa
Ndio maana mzee wa gia za angan lockedman mpaka sasa na chama chake hawajatoa tamko la chama
Poor low thinkers.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: nao
Na huyu anapigania nini mpumbavu mkubwa wewe!?


Mnapigania
UJINGA, UKABILA, UKANDA
Hamna hoja ya msingi kwa sasa
Ndio maana mzee wa gia za angan lockedman mpaka sasa na chama chake hawajatoa tamko la chama
Poor low thinkers.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkondya hana vyeti sasa anatumia mgongo wa Lisu kusaka chcheo cha kamanda wa kanda maalum ya Dsm atambue kuwa ICC inakuja na yy atakuwa mshitakiwa namba moja.
Huu wimbo wa ICC aliuimba sana Mbatia kabla na baada kidogo ya uchaguzi mkuu lakini akanyamaza,naona nawe umeamua kumpokea mkuu.Endelea uimbisha ukichoka kuna mtu atakupokea....kawimbo katamu.
 
Kinamdamalum kushikiliwa nahisi wanasheria wamejipanga na hilo
 
Haya yanayompata TL ni kwasababu wanasheria wa nchi hii wako usingizini,kama wangekuwa kama TL haya tunayo yashuhudia yasingekuwepo.
Wangekuwa na moyo kama wa TL kupinga na kupaza sauti pale katiba ya nchi inapo kanyagwa,huyu jamaa asingekuwa huko aliko,yuko huko maana yupo mwenyewe tu.
Nawaomba wanasheria wote waliangalie hii na kama wataona vema akina TL wawepo wengi.
 
You pray for the worse, brace yourself for disappointment, the worse will fall on you. Magu yupo hadi 2025+
 
Madhara ya kua na serikali inayo ongozwa na watu wenye akili ndogo ndio haya.
 
Kubenea hana janja ya kujificha porini ... hana pa kwenda kwa hiyo Tanzania ni ndogo kwake tofauti na wale jamaa

Kwa hiyo kwa wale jamaa Tanzania ni kubwa, kwa Kubenea Tanzania ni ndogo.

Chizi wewe kuruta. Kazi yenu kuonea unarmed, defenseless citizens.

Huu si wakati wa Polisi wa Tanzania kumtakia mtu "Tanzania ni ndogo jitokeze mwenyewe..." atakuwa polisi chizi. Last week Kamanda Sirro amesema kuna ungoverned areas ambazo polisi hawawezi kufika, ni mbali sana, watu tujilinde wenyewe.

Sasa ghafla utachimbaje mkwara kwamba Tanzania ni ndogo Kubenea jitokeze wenyewe?

Imagine polisi unatamka mbele ya umma kwamba kuna sehemu za nchi hii ni mbali sana. Mbali kutoka wapi, Central Police? Nyinyi polisi wazima kweli nyinyi?

Magufuli, hebu fukuza hawa makamanda waliosema Pwani ni mbali sana polisi hawana jinsi ya kufika, achana na Kubenea.
 
We jinga kweli, unaona kubenea ni jambazi kwamba kumtafuta itakuwa shida? Atakimbilia wapi na kwa kosa lipi la kumfanya asionekana, we hujaelewa nilichokiandika ndo maana umekuja na mihemko ya kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jinga kweli, unaona kubenea ni jambazi kwamba kumtafuta itakuwa shida? Atakimbilia wapi na kwa kosa lipi la kumfanya asionekana, we hujaelewa nilichokiandika ndo maana umekuja na mihemko ya kisiasa.
 
We jinga kweli, unaona kubenea ni jambazi kwamba kumtafuta itakuwa shida? Atakimbilia wapi na kwa kosa lipi la kumfanya asionekana, we hujaelewa nilichokiandika ndo maana umekuja na mihemko ya kisiasa.

Kama hamuwezi kuwapata majahili wa Kibiti basi msichimbe mkwara kwa Kubenea kwamba Tanzania ni ndogo. Kwa hiyo kwa Kubenea kumpata rahisi, kwa majambazi ndio hamuwezi? Nakwambia chizi wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…