Polisi: Lissu hatoki

kikwete alikuwa Rais hakumaliza umasikini jimboni wala wilayani kwake hivyo hivyo kwa mkapa hata huyo magufuli hakumaliza umasikini chato wakati akiwa waziri, kazi ya Mbunge si kugawa pesa kwa wana jimbo na unasikini wa jimbo umeletwa na CCM kwa kutopeleka Bajeti ya maendeleo jimboni kwa Lisu makusudi wakimkomoa, na kaa ukijua Lisu ni kiongozi wa chama kitaifa lazima apaze Sauti kulalamikia Udikteta wenu pasipo kujali kuwa CCM mnamkomoa kwa kutopeleka maendeleo jimboni kwake.
 
Anaudhi sana huyo mtu na ilikuwa inaonekana polisi wanamuogopa. Huoni Lema amekuwa mstaarabu!


Mtu anaejua ni anajua tu, Lissu alishaga mdhalilishaga SACP wa polisi mahakamani. Ngoja kesi iungurume uuone moto wa Lissu.
 
Angalau yeye kajaribu kuliko yule anayekimbia kukutana na viongozi wq kimataifa kisa lugha akisingizia kubana matumizi wakati huo huo anatuma mwakilishi anayejua kiingereza

fent ford
Huna lolote zaidi ya utumwa wa kifikra. Nenda kamfariji huyo Lisu huko mahabusu na Kiingereza chake.
 
Lisu anasota selo.
 


Dah! Akili za Lumumba ni shida tupu aisee,
Kwa hiyo Lissu anatakiwa awaletee hao Ikungi maisha bora?
 
Hii yote ni kwa sababu Polisi wote walipata zero au four form four. Polisi wenye akili hawafanyi kazi hivyi, ndio maana siku zote wanashindwa mahakamani
 
Ujinga upi? Nyie kuwabambikia kesi upinzani ni ujanja? Kuwakomoa Wapinzani ni ujanja? Visasi na uonevu ni ujanja? Utakufa kwa roho mbaya malipo ni hapa hapa Duniani.
Mwenye Akili zake anaelewa
Ni Vipi Tanzania hakuna Upinzani kuna wahuni tu
 
Nasi tunaendelea na maombi ili aendelee kukataa kupima mkojo ili waendelee kumshikilia mpaka atakapokubali...Mkondya shikilia hapo hapo,huyo jamaa anachafua hali ya hewa mtaani.
 
Haya haya...
Yepi. Haya ya tundu lisu kusema mataifa yaisusie nchi. Yasiipe misaada kwa sabb kamteua mtoto wa ndugu yake kuwa katibu wa wizara ya fedha????

Kule uganda mseven kamteua mke wake kuwa waziri na mtoto wake kuwa afisa wa juu wa jeshi.

Kule marekani trump kamteua mkwe wake kuwa mshauri wake mkuu wa masuala ya uchumi. Kamteua mpaka mtoto wake, marekani uko.

Putin kamteua mdogo wake kwenye nafasi nyeti jeshin na kampa Dada yake cheo kama katibu mkuu kwenye wizara ya fedha. Uko ni urusi.

Africa kusini, zuma kamteua bint yake. Kateua marafiki zake kutoka jimbo lake kuwa mawaziri. Huko ni bonden

Uhuru kenyata alimteua hawara yake kuwa waziri. Na ndugu zake kibao kuwa government officials. Apo ni Kenya

Mifano ni mingi sana mkuu. Hata siwezi kuandika yote. Lakin hujasikia matamko na maneno ya kejeli kama tundu lisu.

Democracy is about leting the winner do what he/she thinks is right to achieve what was in the promice.

Unajua siku zote, the end justifies the means. Mkapa alianzisha mamlaka ya mapato (tra) tunaambiwa wafanyabiashara waliandamana mpaka basi. Kariakoo kulikuwa na mgomo wa karibia wiki. Lakin mzee hakurudi nyuma. Alikomaa. Ukiuliza viongozi wa kwanza aliowateua kuwa waanzilishi wa tra huwez kuamin. Lakin Leo hii tunajivunia tra.

Mwache tu lisu avune anachotaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hataki kutoa mkojo wake anauona keki?
 
Mungu wa Mbinguni ipo siku atajibu hiki kilio cha watu wengi
 
Hata watawala wa kipindi kile walipi maliza kumnyanyasa Yesu na kumzika waliweka jiwe kubwa sana juu ya kaburi lake, pia waliweka na walinzi ili asitokee wa kuiba mwili wa Kristo yesu, lakini muda ulipo fika mbi gu zilifunguka, na walinzi wakaona kishindo kikuu na Kristo alitoka kaburini akawaachia shimo. Hivyo itakavyo kuwa kwa wanaojaribu kukandamiza haki kwa sababu ya mamlaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haujielewi. The worst will be upon you
Shame on you


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…